Utumishi wamwaga mamia ya kazi...


Me huo upositive pia nilianza upata since na join chuo nilipoona bro wangu kapata then namaliza mwingine nae akapata hukohuko utumishi pia me mwenyewe nilivyo pata kazi soon after university b4 graduation bila hata kumjua mtu na nilivyowaona friends of mine wakipata taasisi nyingine kama TRA,PWC n.k bila kumjua mtu. Its possible if you are positive hata kama hayo yapo but tusiassume kuwa 100% na kutothubutu na kujiamini wenyewe.
 
Ile wizara ndi inaongoza kwa semina na safari ili wapate posho hadi hospitali za wilaya na mikoa zilizo chini ya halmashaur safari nje nje yani kule nahisi hata messenger anatrip za per diem lol!

Aisee ngoja nisali sana nipate hyo kazi. Natamani Sana nipate serikalini. Dah nitafurahi sana nikipata
 

You're right qn of sheba tatizo pia watu wanakatisha wenzio tamaa Sana sasa Kama mtu huwezi pambanua then you are finished..
 
Last edited by a moderator:
Oooh life sooo tuff natamani nipate no matter salary ni low
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…