Hata ungekuwa unasoma matangazo usingeona. Waulize waliofanya wameona tangazo?
Jibu lao hawakuona ila walienda kufanya written interview ya promotion ndio wakakutana na trade officer. Kwa mantiki hii utumishi wamekosea.
Ni mara ngapi matangazo yanabadilishwa na watu wanajua.
Kwa akili ndogo tu ya kufikili watu 200 wafanye written watu 20