Utumishi-salary scale

Utumishi-salary scale

Tmatimba

Member
Joined
Oct 8, 2013
Posts
66
Reaction score
10
Heshima kwenu wadau,
Kuna hii ktu inanchanganya, naomben msaada wenu ili njue namna yakultatua kwan nko mkoan nashindwa kuwa-face wahuska, ishu iko hivi
Nimeajiliwa October last year kma Afsa Ugav Msaidz nalpwa TGS-B, Elimu yangu ni Diploma/Stashahada ya Ugav/Procurement, Sasa kuna jamaa angu anasena tgs-b ni kiwango cha wahtimu wa Cheti/Astashahada. Mwenye kufahamu plz salary scale inayotumika serkalini kwa ngaz ya Diploma msaada tafadhal

Ntashukuru1
................
................
Ahsanten kwa ufafanuz wakuu,
Lakn incase pengne labda tangazo lakazi lilikuwa linasema utalpwa hyo tgs-b kwa ngaz hyohyo ya Stashahada,
Hiyo imekaa vp!
 
TGS C ndo unakiwa kuanza nayo.
waone wahusika wakurekebishie kwa mfumo uliopo kwenye halmashauri ni fasta mno.
 
angalia hapo kwenye sticky notes utaona zote zipo...
 
wamekutapeli au itakuwa ulitumia cheti yaani astashahada wakati wakujaza fomu muhimu, nnenda kamuone afisa utumishi anayehusika atakubadilishia mapema iwezekanvyo kwani mfumo hauna shida siku hizi
 
kama hiyo kazi walihitaji mtu wa astashahada na wewe ukaiomba inabidi uvumilie hivyo hivyo,kwani nafasi haikuwa kwa mwenye stashahada
 
Hapana mkuu,
Tangazo lakaz lilikuwa linasema Afisa Ugav Msaidizi mwenye Stashahada anahtajka na salary scale ni hyo TGS-B,
Au ndo ukata wa fedha serkalin? Kama kwel diploma holder anastahili kulpwa tgs-c inakuaje waseme tgs-b kwnye hlo tangazo lakaz? Kibaya zaid nimeajiliwa serkali kuu(katbu mkuu wzara ya Maendleo ya Jamii Jinsia na Watoto) namimi nko mkoan, nkpga smu spewi majbu yakna
kama hiyo kazi walihitaji mtu wa astashahada na wewe ukaiomba inabidi uvumilie hivyo hivyo,kwani nafasi haikuwa kwa mwenye stashahada
 
Mwaka Jana Waloitwa October/ November Wanaotakiwa Kupewa Tgs C Walianza Na Tgs B, Mtalekebishiwa, Hata Mfano Ps Wenye Diploma Na Certfct Wote Walipewa Tgs B, Uzur Usha Anza Kaz Bas Luksa Kulalamika,
 
kabla ya kusoma dip ulikua na cheti na uliomba kazi kwa cheti japo elimu uliyonayo ni dip sasa ww unataka kuchomekea hzo mambo il ulipwe tgs C kitu ambacho hakiwezekani kabisa mpka umalize miaka mitatu kazini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom