Utumishi kwanini wanatoa pdf Vipandepande za Afya

Utumishi kwanini wanatoa pdf Vipandepande za Afya

Utawala2025

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2023
Posts
1,144
Reaction score
2,758
Habari.

Utumishi walitangaza Ajira za afya karibia 9400 na tukafanya usaili mwezi uliopita.

Ila hawa jamaa wana ukakasi sana wameanza kutoa mikeka wiki hii ambalo mpaka sasa wamechukua kada kama nne tu.
Nursing officer 400
Pham Tech 240
Medical attendant
Assistant nursing officer.

Ila wanaleta ukakasi kwa kuacha kada nyingi sana ili waweze kufikia idadi hiyo au wazidi kabisa.

Hata kama ni mchakato kwa nini wasitoe PDF moja ikaeleweka kuliko vipisi vya pdf walivyoanza navyo na haieleweki lini watakamilisha maana karibia kada 13 zimefanya usaili .

Hawa jamaa wanatakiwa usaidizi wamelewa.
 
Kuna comment nimeiona kwenye uzi fulani naomba niipaste hapa;-

"Nitaka nitoe ufafanuzi juu ya ajira za afya zilizotoka juzi,,,,
Ajira hizi mwajiri wake ni wizara ya afya anayesimamia ajira za taasisi za serkali kama vile vyuo vikuu vilivyo na vituo vya afya, hospitali za mikoa, hospital za Kanda na hospital ya Taifa, majeshini nk
Kuhusu walioajiriwa
Maadam anayeratibu ni UTUMISHI kupitia ajira portal, yeyote aliyefaulu usahili anaajiriwa yoyote aliyefaulu usaili wa mahojiano.
Kama Kuna mtu alifanya usahili tarehe hizo tajwa na akafahulu , wizara ili omba watu hao kutoka kwenye data base ya UTUMISHI wakawapatia watu walionao.
Kuhusu hizi za Tamisemi ambazo ndo ni za watu wengi zaidi zitatoka hivi karibuni na mwajiri wake atakuwa ni mkoa husika yaan LGAS na MGAS kwo tuwe watulivu maana ajira za afya under Tamisemi zilizoratibiwa na sekretariet ya ajira
Wapo watu kama 10k + ambao tayari wameshapangiwa vituo na majina Yao yatatoka muda SI mrefu.

Nawasilisha."

Kwa mujibu wa maelezo haya, hizi ajira wanazotoa PSRS sio zile zilizotangazwa. Hizi ni additional posts baada ya Wizara ya Afya kupewa vibali vingine vya kuajiri na kuomba watumishi kutoka PSRS.

Hivyo, mlioomba zile posts ambazo waajiri ni mikoa, posts zenu bado, endeleeni kusubiri. Ikitokea hukupata kule ukapelekwa Wizarani , nayo imekaa vizuri.

Yote kwa yote, kama ni kweli serikali itaita watu wote kama trend inavyoonekana, huu mwaka watu wataingia wengi sana kwenye system.
 
Kuna comment nimeiona kwenye uzi fulani naomba niipaste hapa;-

"Nitaka nitoe ufafanuzi juu ya ajira za afya zilizotoka juzi,,,,
Ajira hizi mwajiri wake ni wizara ya afya anayesimamia ajira za taasisi za serkali kama vile vyuo vikuu vilivyo na vituo vya afya, hospitali za mikoa, hospital za Kanda na hospital ya Taifa, majeshini nk
Kuhusu walioajiriwa
Maadam anayeratibu ni UTUMISHI kupitia ajira portal, yeyote aliyefaulu usahili anaajiriwa yoyote aliyefaulu usaili wa mahojiano.
Kama Kuna mtu alifanya usahili tarehe hizo tajwa na akafahulu , wizara ili omba watu hao kutoka kwenye data base ya UTUMISHI wakawapatia watu walionao.
Kuhusu hizi za Tamisemi ambazo ndo ni za watu wengi zaidi zitatoka hivi karibuni na mwajiri wake atakuwa ni mkoa husika yaan LGAS na MGAS kwo tuwe watulivu maana ajira za afya under Tamisemi zilizoratibiwa na sekretariet ya ajira
Wapo watu kama 10k + ambao tayari wameshapangiwa vituo na majina Yao yatatoka muda SI mrefu.

Nawasilisha."

Kwa mujibu wa maelezo haya, hizi ajira wanazotoa PSRS sio zile zilizotangazwa. Hizi ni additional posts baada ya Wizara ya Afya kupewa vibali vingine vya kuajiri na kuomba watumishi kutoka PSRS.

Hivyo, mlioomba zile posts ambazo waajiri ni mikoa, posts zenu bado, endeleeni kusubiri. Ikitokea hukupata kule ukapelekwa Wizarani , nayo imekaa vizuri.

Yote kwa yote, kama ni kweli serikali itaita watu wote kama trend inavyoonekana, huu mwaka watu wataingia wengi sana kwenye system.
Imeeleweka mkuu shukran kwa ufafanuzi
 
Habari.

Utumishi walitangaza Ajira za afya karibia 9400 na tukafanya usaili mwezi uliopita.

Ila hawa jamaa wana ukakasi sana wameanza kutoa mikeka wiki hii ambalo mpaka sasa wamechukua kada kama nne tu.
Nursing officer 400
Pham Tech 240
Medical attendant
Assistant nursing officer.

Ila wanaleta ukakasi kwa kuacha kada nyingi sana ili waweze kufikia idadi hiyo au wazidi kabisa.

Hata kama ni mchakato kwa nini wasitoe PDF moja ikaeleweka kuliko vipisi vya pdf walivyoanza navyo na haieleweki lini watakamilisha maana karibia kada 13 zimefanya usaili .

Hawa jamaa wanatakiwa usaidizi wamelewa.
Bila shaka sasa hv unachekea chooni baada ya kupata kazi huku umewasagia kunguni utumishi 😂
 
Back
Top Bottom