Sio kwamba nimepata kazi, ila wameniita kwenye interview ila jina langu limetokea kwenye kada ambayo hainihusu na sikuomba.Ushauri wenu ni muhimu
nadhani yatakua makosa ya kiufundi hayo. ebu jaribu kuwapigia simu mzee, hafu uone watasemaje. jaribu mapema maana interview si zinaanza tar 20+? kama upo dar, wafuate ofisi zao maktaba kuu mzee. kama upo mkoa na wasipokupa majibu mazuri siku ya usaili nenda hafu wasikilize uone watasemaje. all the best kaka.
Wakuu heshima zenu,
Niliomba kazi utumishi, wameniita kwenye interview ila jina langu limetokea kwenye kada ambayo sikuomba.Kwenye kada niliyoomba jina halijatokea.
Naomba ushauri wenu
Nawasilisha
asee mkuu kafanye kazi
mama miss chagga umemsoma vibaya. sio kwamba kaitwa kazini, ila kaitwa interview.
tufanye wewe uwe umesoma bsc mining engineer hafu ukaitwa interview ya procurement, aisee.
btw ata angekua kaitwa kazini, sio vizuri mtu kufanya kazi isiyo ya professional yako kisa tu shida za ajira. ndio maana migodi ina collapse, kumbe mtu wa procurement ndio ana design underground mining structure sio mtu husika... just saying... :car:
asee mkuu kafanye kazi
Na kweli nimesoma vibaya loh... sijui nashida gani mweee
Ameitwa kwenye interview sio kazini
usiniambie za jana usiku bado zipo...
Sio kwamba nimepata kazi, ila wameniita kwenye interview ila jina langu limetokea kwenye kada ambayo hainihusu na sikuomba.Ushauri wenu ni muhimu
Kaombe muongozo wa PS wa utumishi
Kaombe muongozo wa PS wa utumishi