Utumishi imetema tena nafasi 36

Utumishi imetema tena nafasi 36

miradibubu

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
312
Reaction score
85
Wadau nimepita katika website ya Sekretarieti ya Ajira nimeona tangazo lao la kazi kwa la Kibaha Education Center. Ni nafasi za taaluma mablimbali usije ukaona ni elimu ukapotezea. Nafasi nyingi zinahitaji kiwango cha masters. Hebu changamkieni mambo hayo>
 

Attachments

hivi hizi nafasi zinalenga kuchukua wazee tu ama? maana atleast 10yrs experience si mchezo na wasokuwa na experience watapata lini kazi ili na wao waqualify izo positions?
 
Hawa vidingi si wangekuwa wantafutana wenyewe kiaina coz miaka 10 ya uzoefu, hapo si uzee unakunyemlea.
mfano: kwenye kazi walizotangaza kuna jamaa yangu ana : "bachelor of education policy, planning & management" lakini uzoefu ndo unakaba penati, mpaka kafikia hatua ya kufanya kazi nyingine tu mbadala nje ya alichosomea,
jamani wajiri muwaangalie vijana hawa kwa jicho lenye huruma na mwisho wa maombi hayo wawahurumie vijana hao kwani wanua vipaji vya vijana wetu kwa kigezo cha uzoefu.
 
Hawa vidingi si wangekuwa wantafutana wenyewe kiaina coz miaka 10 ya uzoefu, hapo si uzee unakunyemlea.
mfano: kwenye kazi walizotangaza kuna jamaa yangu ana : "bachelor of education policy, planning & management" lakini uzoefu ndo unakaba penati, mpaka kafikia hatua ya kufanya kazi nyingine tu mbadala nje ya alichosomea,
jamani wajiri muwaangalie vijana hawa kwa jicho lenye huruma na mwisho wa maombi hayo wawahurumie vijana hao kwani wanua vipaji vya vijana wetu kwa kigezo cha uzoefu.



Ndugu yangu, katika Utumishi/Kazi yoyote kuna level...kuanzia assistant officer hadi Mkurugenzi. Na kila ngazi inataka ELIMU NA UZOEFU WAKE kulingana na Scheme of Service ya taasisi husika.

Sasa mnaposingizia sijui wazee, sijui vidingi...we unataka nafasi ya Mkurugenzi/Meneja akae mtu ana Bachelor na uzoefu wa miaka mitatu au mitano KWELI.

Tuache maneno matupu, dawa ni kusoma na kuongeza ujuzi na uzoefu...ndipo unapanda ngazi HATUA KWA HATUA.
 
Jaman 10 yeas experience kweli hli swala liwe kwenye katiba mpya iwe ni offence kwa yeyote atakayetangaza kaz na kuweka eperince. ------- sana hilo li humanan resouce maneger la selikali utafikri majtu yana majini cjui sasa huu mwaka wa tatu nakosa kaz kwa sababu ya liktu linaitwa experience.
 
waliotangaza wamevulugwa, 10 years?? hivi kwa mfano una experience ya 10 years then you must be in a system already na ni tegemeo hapo unakofanya.then hawa wanamtangazia nani? au wale wazee waliofanya kaz kwa miaka kumi then wakafukuzwa,wapo kweli? aaaaaagh!
 
Back
Top Bottom