Utulivu bungeni

utulivu gani ujuha wa kutojua nini wanafanya bungeni
 

Mheshmiwa Naibu Spika,
pamoja na kuileta mada hii huku JF bado hukuridhika ukaamua kuhitimisha nayo kikao cha leo jioni??
 
Naibu Spika wa bunge Job Ndugai amesema kwa siku hizi nne bunge limekuwa tulivu watu wanachangia hoja kwa utulivu na maelewano makubwa.

Huku akizungumza kwa kejeli na dharau kubwa amesema kwamba ameombwa na wananchi waliompigia simu aongeze adhabu aliyokuwa ametoa kwa wabunge wa Chadema ili utulivu huu uendelee bungeni.

Hata hivyo amesema kwamba amekataa maoni hayo ya wananchi na badala yake adhabu ya siku 5 aliyokuwa ametoa ikiisha atawaruhusu warudi bungeni.

Amesema adhabu aliyotoa kwa wabunge wa Chadema sio kuwakomoa bali ni kuwanyoosha na kuwafundisha adabu na taratibu za kibunge.

Wakati akizungumza alikuwa akishangiliwa kwa mayowe na wabunge wa CCM.
 
Hao wabunge waliobaki wanalalamikia serikali lakini baada ya hapo wanaunga mkono hoja na kutusababishia umasikini
 
Kwani bunge tulivu la miaka ya 2002 limetusaidia nini? bora bunge hili linawafanya angalau mawaziri wahusishe ubongo
 
Ukiambiwa umetumwa unalalamika uzi wako na hitimisho la ndugai havitofautian

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mbogo, unaanzisha thread nyingine ya nini? alafu kama umepanga na naibu speaka maana muda fupi sasa naye katoa kejeli ya adhabu aliyoitoa kwa wabunge wa cdm bila kujari athari zilizowapata magamba nje ya bunge.
 
Duuuuuh...! Anyway huo ni mtazamo wako tu.
 
Ni kwa "utulivu" huo tumeshuhudia bilioni 29 zikipelekwa kwenye PDU na milioni 300 zikiidhinishwa kununua magari mawili ya serikali... Utulivu my foot
 
umeacha hizi

serikali ni maha...ni..th.......mbunge chadema
....waziri mpumbavu.....mbunge chadema
rais ni mdini.........mbunge chadema


 
Mwambie huyo,coz anakurupuka tu na kutufanya wengine hatufuatilii mijadala ya bunge..WABUNGE WALIOTOLEWA BUNGENI NI WAPIGANIA HAKI ZA WATANZANIA WOTE BILA KUJALI MASLAHI YA VYAMA.
 
Kachukue posho wewe kilaza, wabunge wanaojua kazi yao ya kuisimamia serikali unasema wenye vurugu kweli tumekwisha kama ndio mawazo ya watanzania hayo.
 

Haya ni mavi ya kuku, na hapa si mahali pake. Yapeleke kwingine na si kwenye mtandao wa watu makini kama JF.
 
Kujaa kwa wabunge wa Ndio mzee! Ndio utulivu bungeni? Basi nchi hii ni aibu tupu na ndio maana pamoja na rasilimali zote sie tunaongoza kwa umasikini.
 
Hakusema hivyo bali alitumia neno la Kiingereza impotent akimaanisha dhaifu. Tuangalie context ndipo tutajua alimaanisha nini. Kwa hiyo Mhe. Wenje hajatukana.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Unajua mtu asiejua lugha ni kazi kumuelewesha...ukisema govt (ni combination ya all gender) sasa is impotent kuitafsiri kama "mwanaume asiejiweza kiume" ni tafsiri ambayo ni illogical kwa kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…