Utu ni moja ya misingi mitano katika dira 2050

Utu ni moja ya misingi mitano katika dira 2050

Mwakongo

Member
Joined
Jul 8, 2025
Posts
60
Reaction score
15
Kila mmoja wetu anastahili kuheshimiwa na kuthaminiwa utu wake, kulindwa na kuhakikishiwa faragha yake.

Hapa niseme tuh chini ya Rais Samia Amefanya na anadelea kutekeleza Dira hii ambayo imezinduliwa itakuwa na Maono chanya kwetu na kila Mmoja wetu yaani Mimi na tunahaki zote za Kuheshika na Kulindwa pia.

MSINGI-WA-DIRA-2.png
 
Back
Top Bottom