Utoto raha sana

Utoto raha sana

Niliokota mbegu za njegere na kumuuliza mama kwanini anazitupa? Kumbe anapanda. Nilitupa mbolea ambayo ilimwagika na kuzolewa eti ni chafu
 
Niliokota mbegu za njegere na kumuuliza mama kwanini anazitupa? Kumbe anapanda. Nilitupa mbolea ambayo ilimwagika na kuzolewa eti ni chafu

mhhh uliokotaje wakati zimefukiwa?
 
Niliwahi kuwa na sketi yenye kiuno kikubwa na chupi iliyoisha mpira,alafu chupi na sketi naviunganisha pamoja navifunga vyote kwa pini moja....ukibanwa sasa mpaka uje uachanishe hiyo sketi na chupi balaa...ushalimwaga
 
barehe ilinifumania himelalia bench nilihis utam wa ajabu tangu Siku iyo ikawa ndio mchezo wangu! niliendelea na tabia hiyo had nikahic mi ndo mgunduzi wa puchu! hakika nilikithiri sana kwa mchezo huo mchafu kwan wanawake walionivutia niliwacheki vizuuuuri mchana alaf usiku niliwatafuna kwa hisia tu! nilijikuta nimeacha glafla baada ya kuingia advance. kiukwel niliathirika kisaikolojia ilifikia wakati. nilihisi sitakuja kuwa na uwezo wa kupata WATOTO. Mungu ni mwema, sababu chanzo ilikuwa ni utoto na nilivyoamua kuacha kwa dhati na kutubu, amenijaalia na sasa Nina watoto 2 na afya yangu ni
njema kabisa. kweli utoto ni ishu. asante mtoa mada kwa kutukumbusha tulikotoka!
 
soma kitabu kiitwacho WAKATI BABA ALIPOKUWA MDOGO utafaidi mengi
 
Niliwahi kuwa na sketi yenye kiuno kikubwa na chupi iliyoisha mpira,alafu chupi na sketi naviunganisha pamoja navifunga vyote kwa pini moja....ukibanwa sasa mpaka uje uachanishe hiyo sketi na chupi balaa...ushalimwaga

Hahahahahahah!
 
mhhh uliokotaje wakati zimefukiwa?

Hapana sista kule kwetu njegere zinatupiwa shambani kwanza na baadaye watu wanafuatia kuzitifulia chini na mimi niliwawahi kabla hawajafukia hata hivyo niliokota punje chache tu
 
Back
Top Bottom