Utoro wa wabunge wa CHADEMA bungeni.

Utoro wa wabunge wa CHADEMA bungeni.

Huey freeman

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2013
Posts
593
Reaction score
248
Nategemea matusi kwa watu wenye jazba na wasio tafakari mambo. .mimi nina mapenzi mema na CHADEMA ndo mana nataka tukumbushane tunapokosea si kuteteana tu na kupeana sifa. Kwanza kabisa kama mnavyojua ktk uchaguzi wa wabunge polisi na ccm walifanya kila kimbwanga kuhakikisha hatuchukui majimbo sehemu nyingi walifanikiwa ila kwingine watu walijituma na kura hazikuibiwa tukapata viti. .sasa 2013 naona kama wabunge wamejisahau na makosa yao ndo hoja za CCM 2015, kumekua na utoro wa wabunge wa CHADEMA bungeni

wafuatao ndo kama wameachiwa kukabiliana na CCM bungeni
  1. John Mnyika
  2. Halima Mdee
  3. Tundu Lissu
  4. Freeman Mbowe
  5. Peter Msigwa na yule mama wa Iringa mweny bifu na Lukuvi

wafuatao cjui niwaite watoro au wamejisahau
  1. Philemon Ndesamburo
  2. Zitto Kabwe
  3. Mh Arfi
  4. Godbles Lema
  5. < Shibuda & Nassary & Kiwia>

nliowataja chini hasa namba moja mbunge wa Moshi Mjini, yani ingetokea ile siku ya vurugu CCM wangeamka tupigane tungepigwa sana sababu tuko wachache. .
Mh.Ndesamburo, Moshi hawapati uwakilishi bungeni ni bora basi uteue waku kukaimu.
Mh.Zitto Kabwe kapewa vitengo vya kum-keep busy na kumnyamazisha,
Lema sijui anaendaga wapi lakini huyu ndo angetakiwa afike bungeni saa kumi na moja kwani kwa kipindi kirefu alistopishwa ubunge,
Arfi anaonekana kwa nadra sana,
Nasari tulitegemea uwashe moto sana ila unashindwa hata na dada Halima Mdee, Shibuda ndo duh ila nahisi anakaaga siti za wabunge wa CCM.

All in all 2015 kupitia uwakilishi mzuri bungeni tunaweza kujipatia majimbo mengi zaidi kwan wananchi watakua na imani nanyi.
Mwisho kabisa napenda nimpongeze mh. Joseph Mbilinyi Sugu, huyu jamaa ana confidence na ana moyo ana wakilisha vizuri angepata ka degree kamoja tu ka sheria hata tundu lisu asingeona ndani
 
Yupo mbunge wa CHADEMA anayeishi Marekani, Leticia Nyerere. Mtu kama huyu usitegemee ahudhurie mikutano yote. Yeye uhudhuria zaidi vikao vyenye pesa nyingi kama Bunge la bajeti. Kule Marekani pia ameajiriwa.
 
Uwakilishi si lazima muda wote uwe bungeni,unaweza kushiriki kwenye miradi jimboni moja kwa moja na ukasifiwa.mf.lema.
 
Yupo mbunge wa Chadema anayeishi Marekani, Leticia Nyerere. Mtu kama huyu usitegemee ahudhurie mikutano yote. Yeye uhudhuria zaidi vikao vyenye pesa nyingi kama Bunge la bajeti. Kule Marekani pia ameajiriwa.

ndio yule yuko na Dr.Slaa Marekani, thought wameenda nae kumbe there is where she lives. .mh
 
Nakupongeza kaka mawazo yako ni mazuri! Lakini ninawalakini kama umefanya utafiti wakina! Napili nataka nikwambie nikupe taarifa mbunge 1 wa CDM ni sawa na wabunge 100 wa magamba (ccm) lakini swala la uwakilishi Bungeni yaani utoro nafikili ni la msingi kulifanyia utafiti! Kwa mfano mzee Ndesa,Ariff walikuwa ni wagonjwa ninavyojua pamoja Christina M Lissu.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Wabunge wa chadema mbona wote wanahudhuria?

Ukiona kuna makamanda hawapo mjengoni ujue wapo kwenye operesheni ya kukomboa nchi.

Lema majuzi pamoja na kushauriwa na daktari kupumzika kwa muda lakini bado amekomaa anakomboa nchi dhidi ya wauza unga wa ccm, majangili, mafisadi na kila aina ya uhuni wa ccm.

Kuikomboa nchi siyo lelemama.

Usidhani kuwepo bungeni na kuuza sura kwenye king'amuzi ndiyo uwakilishi mzuri. Kama unaipenda chadema utajua wabunge wake wanakuwa wapi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ebana ukifuatilia issue hizi za siasa ni hadi uwe mkubwa wa akili sana la sivyo utashindwa kuisha kwa raha na kufa kwa stress tu.
 
Wabunge wa chadema mbona wote wanahudhuria?

Ukiona kuna makamanda hawapo mjengoni ujue wapo kwenye operesheni ya kukomboa nchi.

Lema majuzi pamoja na kushauriwa na daktari kupumzika kwa muda lakini bado amekomaa anakomboa nchi dhidi ya wauza unga wa ccm, majangili, mafisadi na kila aina ya uhuni wa ccm.

Kuikomboa nchi siyo lelemama.

Usidhani kuwepo bungeni na kuuza sura kwenye king'amuzi ndiyo uwakilishi mzuri. Kama unaipenda chadema utajua wabunge wake wanakuwa wapi

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

mbunge mda wa bunge kuwa katika harakati za kisiasa ni kosa ndugu zangu. .kwani kuna watu ambao si chadema lakini walimchagua lema kutokana na uwezo wake. Pili lema au mbunge yeyote hawawakilishi waliompigia kura tu , mbunge anapewa dhamana ya kuwakilisha jimbo zima watu wote ccm chadema na wasio na chama. Sio fair mda wenzako wanapitisha miswada your nat there alafu mwisho wa siku unakuja kulalamika ccm wabaya
 
Ni boro kuwa na wabunge watoro wasiohudhuria vikao kuliko kuwa na wabunge maccm wanaoudhuria bungeni then wanaishia kulala mjengoni. Mfano mzuri ni yule mbunge mwenye tumbo kubwa kuliko wote na sharubu kama mwindi aliyefulia. Kuna yule mwingine mwenye pua kubwa na sura mbovu kama kanusa mavi naye kama mwenzake, akishasagn wanaanza kuuchapa usingi utafikiri alikesha na machangu wanaojiuza hapo mitaa ya mjengoni.
 
Ushauri wako ni mzuri, nimeona baadhi ya wabunge wa chadema wameanza kubweteka mfano ni lema, ndesamburo nk. Wabunge wa chadema chapeni kazi ili mzalishe wabunge wengi mwaka 2015!
 
Ni boro kuwa na wabunge watoro wasiohudhuria vikao kuliko kuwa na wabunge maccm wanaoudhuria bungeni then wanaishia kulala mjengoni. Mfano mzuri ni yule mbunge mwenye tumbo kubwa kuliko wote na sharubu kama mwindi aliyefulia. Kuna yule mwingine mwenye pua kubwa na sura mbovu kama kanusa mavi naye kama mwenzake, akishasagn wanaanza kuuchapa usingi utafikiri alikesha na machangu wanaojiuza hapo mitaa ya mjengoni.

wasira na komba they have nothing 2 lose kwanza hata wasipopata ubunge watapewa u dc na u rc. .n they n t nat even important 4 them to be there since kazi yao ni kupongeza na kupitisha miswada na bajeti. Ila ni tofauti kwa chadema wananchi tumewaamini na kuwapa nafasi watukombea they have to full participate in the parliament sababu pale ndo ccm inapo tekeleza wizi wao
 
Kazi ya Ubunge ni zaidi ya kuwa Bungeni ns kuvuta posho na kuuza sura na hili Mp wa A town analijua
 
Godbless Lema alikuwa mgonjwa, futa kauli la sivyo nikiwa kama Ndugai nakuitia wanajeshi wakutoa nje ya bunge! JW kambi za Gongolamboto, Nyegezi, Lugalo, Vamia (Kigoma), Naliendele jiandaeni! Haya mtoeni nje! Pinda: piga tu tumechoka
 
Kwenye orodha yako ya wabunge wanaoshiriki vikao vyote ongeza Mh Vincent
 
Nategemea matusi kwa watu wenye jazba na wasio tafakari mambo. .mimi nina mapenzi mema na CHADEMA ndo mana nataka tukumbushane tunapokosea si kuteteana tu na kupeana sifa. Kwanza kabisa kama mnavyojua ktk uchaguzi wa wabunge polisi na ccm walifanya kila kimbwanga kuhakikisha hatuchukui majimbo sehemu nyingi walifanikiwa ila kwingine watu walijituma na kura hazikuibiwa tukapata viti. .sasa 2013 naona kama wabunge wamejisahau na makosa yao ndo hoja za CCM 2015, kumekua na utoro wa wabunge wa CHADEMA bungeni

wafuatao ndo kama wameachiwa kukabiliana na CCM bungeni
  1. John Mnyika
  2. Halima Mdee
  3. Tundu Lissu
  4. Freeman Mbowe
  5. Peter Msigwa na yule mama wa Iringa mweny bifu na Lukuvi

wafuatao cjui niwaite watoro au wamejisahau
  1. Philemon Ndesamburo
  2. Zitto Kabwe
  3. Mh Arfi
  4. Godbles Lema
  5. < Shibuda & Nassary & Kiwia>

ni wazo nzuri
 
Muda mwingine si kwamba wanakuwa hawapo bungeni bali hawajaonekana kutoka na kutochangia au kamera kutopita maeneo walipo Mkuu.Maana si wabunge wote huoneshwa kipindi cha mjadala.
 
Wabunge wa Chadema wengi wanaitumikia Chadema kuliko wananchi waliowachagua.
 
Back
Top Bottom