Sidhani kama kilishawahi tokea kitu kama hicho, ila ninachojua mimi kama umechaguliwa kusoma diploma under government sponsorship yaani badala ya kwenda form five ukaamua kwenda vyuo vya ufindi kama MUST,DIT,ATC au Water Institute (WI) hapo kweli utalipiewa ada na utapewa pesa ya field na msosi utakuls bure chuoni (utalipiwa na serikali) ila kama wewe mwenyewe umeamua kuomba kusoma diploma either umetoka form 4 au 6 bhasi wewe utajilipia kila kitu hakuna mkopo kwa wanafunzi wanaosoma diploma isipokuwa kwa chuo kimoja tu , chuo cha maji (WI) wao wanatoa mikopo kwaajili ya wanafunzi wao tu wa dip au cert