kizazi kipya
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 327
- 62
Wana jamii naomba kuelewa the action taken by makinda on zitto's issue.Naona iko kimya au ni kama Lema alivothibitisha then ikawekwa kapuni!Wenye information please welcome.
kanawe kwanza,acha kuropoka ropoka tu,ilimradi umetumwa na nepi.shame on you.Yuko Kigoma na rafiki yake JK kampa lami ya km 60! Zitto ana ushawishi wa kutisha kama sifa ya Ubunge anaongoza kwa Wabunge wa Chadema! Wengine magwanda kama mgambo wa jiji na maandamano ndio wana weza! Big Up Zitto!
Zitto, a timed bombkanawe kwanza,acha kuropoka ropoka tu,ilimradi umetumwa na nepi.shame on you.