Uthibitisho wa Tiba ya Gumboro

Just sugar,readily available sugar.,nothing else or magical. wakiwa wamechoka sana kuku wape glucose kwa wingi .,you will end up exhaustion and will do better.gumboro has some pathological effect in kidneys .,so things like nanasi also helps in effecting kidney functions/performance to normal .also the liver functions are impaired ,so if you have products to improve liver functions like the likes of enzyver,or hepatury if not mistaken in spelling of the products,you will witness wonders of health improvement of your birds.
Thank you.
Jaribu kutafsiri au utumie lugha moja ili twende sawa
 
Just sugar,readily available sugar.,nothing else or magical. wakiwa wamechoka sana kuku wape glucose kwa wingi .,you will end up exhaustion and will do better.gumboro has some pathological effect in kidneys .,so things like nanasi also helps in effecting kidney functions/performance to normal .also the liver functions are impaired ,so if you have products to improve liver functions like the likes of enzyver,or hepatury if not mistaken in spelling of the products,you will witness wonders of health improvement of your birds.
Thank you.
Mchango wako mzuri kiongozi! Sema ulipaswa kuandika lugha ya Taifa ili kila mmoja aweze kuelewa kwa haraka kama mleta mada alivyoandika! Nawasilisha
 
Since this is a viral disease, there is no effective treatment. The only way to keep the flock of chicken free of this disease is an effective vaccination. It is not unlikely that the vaccinated flock may even suffer from this disease.
 
Since this is a viral disease, there is no effective treatment. The only way to keep the flock of chicken free of this disease is an effective vaccination. It is not unlikely that the vaccinated flock may even suffer from this disease.
 
Habari wanajamii leo napenda kushare na Jamii pamoja na taasisi mbali mbali ili kuthibitisha na kufanya utafiti zaidi kuhusiana na Ugonjwa wa GUmboro kwa Kuku.


Nikiwa mgeni katika sekta ya ufugaji wa kuku wa kienyeji nimekumbana na ugonjwa wa Gumboro kutokana na kuchelewa kutoa Kinga na kupelekea ugonjwa kushambulia vifaranga na kuku wa kubwa.
Baada ya kuthibitisha ni ugonjwa wa gumboro unashambulia kuku wangu na kuripot vifo viwili vya vifaranga huku wengine wakiwa tayari na maambukizi.niliwapa kinga kujaribu kokoa hasara.
baada ya siku ya 3 kutoa kinga kuku wengi walinyong'onyea na kusinzia .siku hiyo majira ya saa 6 siku ya jumapili nikua nimenunua nanasi,mke wangu alilichonga alikuta sehemu kubwa ya nanasi imekua rangi ya udongo/kuharibika na nanasi lenyewe lilikua na sukari kali sana.
sehemu ile iliyokua imeharibika ilikatwa.. Baada ya muda yule kuku alizidiwa alifata harufu ya nanasi na kuanza kulidonodono na kula wengine nao walifata wakaligombania na kulimaliza
nilipoona vile na kuku wamepoteza hamu ya kula niliwaopa na vipande vingine wakaendelea kula baada ya kama dakika 30 yule kuku wa kwanza nilimwona akiwa anachangamka.kuku huyu nilimwona wakwanza kutokana yeye kupenda kukaa mahali nipo. niliwatafuta kuku wengine nao walikua wanacheza cheza na wengine wakila kile chakula kwa kasi.

Leo siku ya 6 sijaona kuku anaezubaa tena na kuharisha.

Huu ni Uthibitisho wangu wa Kuku wangu kupona Gumboro kwa Nanasi ?
Wanajamii na Taasisi za mifugo na kilimo naomba mufanye utafiti Katika Katika nanasi pamoja na jamii yake. huenda likawa ni suluhisho la maradhi mengi kwa KUKU.

ASANTE!
Thank you so much mkuu. Ngoja niingie maabara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom