lyakurwaD
Member
- Jan 10, 2017
- 50
- 39
Nipo buhongwa wap wwNahitaji ujuz zaid nimeanza Ufugaji ila ni Bora zaid kama kuna alie Mwanza Tuwasiliane
Nipo buhongwa wap wwNahitaji ujuz zaid nimeanza Ufugaji ila ni Bora zaid kama kuna alie Mwanza Tuwasiliane
Nipo buhongwa wap ww
Kwani Dar tu ndipo pa kuishi?UKO MBALI UNGEKUWA DAR NINGEHAMIA
Jaribu kutafsiri au utumie lugha moja ili twende sawaJust sugar,readily available sugar.,nothing else or magical. wakiwa wamechoka sana kuku wape glucose kwa wingi .,you will end up exhaustion and will do better.gumboro has some pathological effect in kidneys .,so things like nanasi also helps in effecting kidney functions/performance to normal .also the liver functions are impaired ,so if you have products to improve liver functions like the likes of enzyver,or hepatury if not mistaken in spelling of the products,you will witness wonders of health improvement of your birds.
Thank you.
Nahitaji mbegu ya Kuchi mkuume natafuta mayai ya mbegu ya izraeli au kroila mana nina malawi saso na kuch
KaribuAsante nimejifunza kitu
Mchango wako mzuri kiongozi! Sema ulipaswa kuandika lugha ya Taifa ili kila mmoja aweze kuelewa kwa haraka kama mleta mada alivyoandika! NawasilishaJust sugar,readily available sugar.,nothing else or magical. wakiwa wamechoka sana kuku wape glucose kwa wingi .,you will end up exhaustion and will do better.gumboro has some pathological effect in kidneys .,so things like nanasi also helps in effecting kidney functions/performance to normal .also the liver functions are impaired ,so if you have products to improve liver functions like the likes of enzyver,or hepatury if not mistaken in spelling of the products,you will witness wonders of health improvement of your birds.
Thank you.
Samahani bumblefoot na fungus ni sawa dawa yake niniDaaah hiyooo nmeipendaa mkuu binafsi ni mtaalamu wa maabara kutoka maabara kuu ya mifugo taifa ntaifatiliaa hiyooo kisayansi zaid
Mkuu hata Mie sijui Gumboro ni nini?hapana acha ujinga
Ule ugonjwa wa kuku kusinzia unaitwaje?kama huwezi kuwapa kuku chanjo acha tu kufuga mkuu maana ugonjwa ukipita hapo kupona ni nadra sana .ngoja kideri kipite ndo utaelewa
Thank you so much mkuu. Ngoja niingie maabaraHabari wanajamii leo napenda kushare na Jamii pamoja na taasisi mbali mbali ili kuthibitisha na kufanya utafiti zaidi kuhusiana na Ugonjwa wa GUmboro kwa Kuku.
Nikiwa mgeni katika sekta ya ufugaji wa kuku wa kienyeji nimekumbana na ugonjwa wa Gumboro kutokana na kuchelewa kutoa Kinga na kupelekea ugonjwa kushambulia vifaranga na kuku wa kubwa.
Baada ya kuthibitisha ni ugonjwa wa gumboro unashambulia kuku wangu na kuripot vifo viwili vya vifaranga huku wengine wakiwa tayari na maambukizi.niliwapa kinga kujaribu kokoa hasara.
baada ya siku ya 3 kutoa kinga kuku wengi walinyong'onyea na kusinzia .siku hiyo majira ya saa 6 siku ya jumapili nikua nimenunua nanasi,mke wangu alilichonga alikuta sehemu kubwa ya nanasi imekua rangi ya udongo/kuharibika na nanasi lenyewe lilikua na sukari kali sana.
sehemu ile iliyokua imeharibika ilikatwa.. Baada ya muda yule kuku alizidiwa alifata harufu ya nanasi na kuanza kulidonodono na kula wengine nao walifata wakaligombania na kulimaliza
nilipoona vile na kuku wamepoteza hamu ya kula niliwaopa na vipande vingine wakaendelea kula baada ya kama dakika 30 yule kuku wa kwanza nilimwona akiwa anachangamka.kuku huyu nilimwona wakwanza kutokana yeye kupenda kukaa mahali nipo. niliwatafuta kuku wengine nao walikua wanacheza cheza na wengine wakila kile chakula kwa kasi.
Leo siku ya 6 sijaona kuku anaezubaa tena na kuharisha.
Huu ni Uthibitisho wangu wa Kuku wangu kupona Gumboro kwa Nanasi ?
Wanajamii na Taasisi za mifugo na kilimo naomba mufanye utafiti Katika Katika nanasi pamoja na jamii yake. huenda likawa ni suluhisho la maradhi mengi kwa KUKU.
ASANTE!