Paulo usitumiwe,ujinga huo hapo hata mimi naweza kufanya na mkubwa zaidi ya huo kwa elimu yangu naweza kukutengeneza wewe unafanya mapenzi na mnyama na hakuna atakayebisha,msitupeleke RWANDA mpeni ushauri Slaa amrudie mungu atubu kwa udhalilishaji (Sifa kuu ya mapadre wa katoriki) arudi kutumika kanisani NA hilo ni gumu sana