Uthibitisho wa chuo

Uthibitisho wa chuo

Joined
Oct 9, 2015
Posts
21
Reaction score
0
Habari zenu wakubwa,
Naomba kuuliza kwamba nimekua selected by NACTE UDSM but sijaelewa nini maana ya uchaguzi huo unategemea uthibitisho kutoka chuoni ndio wasi wasi wangu mkubwa sasa ina maana NACTE wanaweza kukuchagua ila chuo kikakutema kama ni hivyo kwanini tunapitia kwao na inakuwaje unakua selected na wao bila uthibitisho kutoka chuo husika!
 
yep,,, hiyo ndo manake, chuo kinaweza kureject selection, japo ni marachache sana,,,
NACTE wakishakuchgua obvious chuo kina confirm tuu, coz umekidhi criteria za chuo.
 
Kama TCU ambao ndiyo upokea maombi ya kozi zinazotakiwa kutoka kwa wanafunzi na pia kuyafanyia uchambuzi na kisha kuwasilisha majina ya waliokidhi vigezo kwa chuo husika kwanini basi wasingekuwa wanasubiri kwanza confirmation ya chuo ndipo hao hao TCU watoe taarifa ya confirmed selection kwa waliochaguliwa? Kwa sababu mimi naona hizi provisional selection zinawaweka tu roho juu juu wanafunzi waombaji na hasa kama kuna uwezekano wa chuo husika kuengua baadhi ya wale waliokuwa short listed na TCU. Au pengine utolewaji wa provisional selection unaofanywa na TCU kabla ya kusubiri confirmation ya chuo husika ni mbinu ya kunawa mikono kuonyesha waombaji kwamba wao waliwachagua isipokuwa chuo husika ndicho kimewatema.
 
kutemwa hyo n udsm tu wanpenda sifa.....chuo n biashara wakuache alfu wao wakale wapi........hkuna wakuachwa labda udsm tu
 
Kama TCU ambao ndiyo upokea maombi ya kozi zinazotakiwa kutoka kwa wanafunzi na pia kuyafanyia uchambuzi na kisha kuwasilisha majina ya waliokidhi vigezo kwa chuo husika kwanini basi wasingekuwa wanasubiri kwanza confirmation ya chuo ndipo hao hao TCU watoe taarifa ya confirmed selection kwa waliochaguliwa? Kwa sababu mimi naona hizi provisional selection zinawaweka tu roho juu juu wanafunzi waombaji na hasa kama kuna uwezekano wa chuo husika kuengua baadhi ya wale waliokuwa short listed na TCU. Au pengine utolewaji wa provisional selection unaofanywa na TCU kabla ya kusubiri confirmation ya chuo husika ni mbinu ya kunawa mikono kuonyesha waombaji kwamba wao waliwachagua isipokuwa chuo husika ndicho kimewatema.

acha tuu ful ubabaishaj yan sielew hta mamlaka ya tcu na nacte km ndo hvo ilibd ukochaguliwa nao kwsha kaz n kupeleka majna chuo bas sio hbt tena za uthbtsho c bora sasa tungekuwa tunaaply vyuo moja kwa moja kama kna kutemana
 
Habari zenu wakubwa,
Naomba kuuliza kwamba nimekua selected by NACTE UDSM but sijaelewa nini maana ya uchaguzi huo unategemea uthibitisho kutoka chuoni ndio wasi wasi wangu mkubwa sasa ina maana NACTE wanaweza kukuchagua ila chuo kikakutema kama ni hivyo kwanini tunapitia kwao na inakuwaje unakua selected na wao bila uthibitisho kutoka chuo husika!


Mkuu..chuo ndio kinawapa TCU vigezo na sifa za wanafunzi,kwa hiyo wao TCU wanakuchagua kulingana na maelezo waliopewa na vyuo husika

Hivyo nadhani haiwezekani TCU ikuchague then chuo kikukatae

Yani ni kama mimi nikuagize kaniletee gari mpya Murano nyeusi iwe hivi na hivi halafu then wewe ukatae useme siitaki hii wakati vigezo ulinipa mwenyewe
 
Mkuu..chuo ndio kinawapa TCU vigezo na sifa za wanafunzi,kwa hiyo wao TCU wanakuchagua kulingana na maelezo waliopewa na vyuo husika

Hivyo nadhani haiwezekani TCU ikuchague then chuo kikukatae

Yani ni kama mimi nikuagize kaniletee gari mpya Murano nyeusi iwe hivi na hivi halafu then wewe ukatae useme siitaki hii wakati vigezo ulinipa mwenyewe

udsm inawezekana manake wao sio matokeo ya advance tu bali kama hauna C tatu za science form 4 wanazingua sanasana eng.
 
Hata mimi nafikiri ni vyema kufanya application direct kwenye chuo husika.haina maana kuchaguliwa na TCU kwa vigezo vyote halafu chuo kikukatae na kuonesha kuwa TCU wanachagua baadhi ya watu bila kufuata vigezo vya chuo husika kitu ambacho siyo sahihi.
 
jaman hata mimi nimekuta selected udsm nasubir confermed toka chuo leo siku ya tatu kimya daaa hawa nacte ni shida.
 
Kama hujapangiwa chuo fanya uende NACTE mapema sana ukajue nn tatzo
 
Back
Top Bottom