hudson sweetbert
Member
- Oct 9, 2015
- 21
- 0
Habari zenu wakubwa,
Naomba kuuliza kwamba nimekua selected by NACTE UDSM but sijaelewa nini maana ya uchaguzi huo unategemea uthibitisho kutoka chuoni ndio wasi wasi wangu mkubwa sasa ina maana NACTE wanaweza kukuchagua ila chuo kikakutema kama ni hivyo kwanini tunapitia kwao na inakuwaje unakua selected na wao bila uthibitisho kutoka chuo husika!
Naomba kuuliza kwamba nimekua selected by NACTE UDSM but sijaelewa nini maana ya uchaguzi huo unategemea uthibitisho kutoka chuoni ndio wasi wasi wangu mkubwa sasa ina maana NACTE wanaweza kukuchagua ila chuo kikakutema kama ni hivyo kwanini tunapitia kwao na inakuwaje unakua selected na wao bila uthibitisho kutoka chuo husika!