UTHIBITISHO WA CHUO

ngwere96

Member
Joined
May 16, 2019
Posts
44
Reaction score
16
Kuna mdogo wang kachagulia multiple first round alichagulia chuo x na z na akadhibitisha chuo x bt sec selctn akachaguliwa chuo y na anataka akasome chuo y na kadhibitisha chuo y kaenda chuo x kucancel kwa mtandao imekataa bt wanasema haina shidah anaweza akaenda huko chuo y bt mkopo unaweza ukaenda chuo x so anaweza fanya transfer....Ambao wamepitia situation hii waje waeleze km haina tabu
 
hizo x,y,z umeharibu maana kabisa...
kwanini usiandike majina ya vyuo??
 


Dogo kwanini unadanganya?? Kwani ukisema mhusika ni wewe utakufa?
 
 
Mwambie atafute coordiante za x and y
 
Haha.jf kuna vituko sana sa lzm niseme mm nenda mada inavyosema braza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…