I CANT AGREE WITH YOU MORE, siasa za fitina ndo zimetawala na chuki lakini utakapozungumzia jambo la msingi kwa kweli wafitini hutowaona ng'o! why? kwa sababu wanaona jambo hilo lina manufaa kwa Taifa na si kwao na wao wangependa iwe the opposite, this is a problem na hawa watu watatoka tuu in no time