Inakuwaje umepewa nafasi ya ukurugenzi katika mojawapo ya ofisi ya serikali kabla ya hapo ulikuwa unashirikiana vizuri na wafanyakazi wenzako lakini baada ya kupewa hiyo nafasi unaanza kuwadharau wafanyakazi walio chini yako kwa kusema kila sehemu kwenye maofisi mengine kwamba hawa wafanyakazi wenzangu hawajui kazi yeyote ila mimi peke yangu.je huo ndo uongozi?