Utawala wa jk-wawakera wazungu !

Nimesoma hizo comments na hizo comments hazikuandikwa na Wazungu. Hizo comment zimeandikwa na Wakenya na WTZ. Kiingereza kilichotumika ktk hizo comments ni cha KIAFRIKA zaidi.

Jamani, acheni propaganda za kijinga.

Sio propanga hizo kwani yaliyoandikwa ni ukweli mtupu wewe uko nchi gani? ni afadhali ukubali kuwa nchi iko matatizoni ili tutafute ufumbuzi kuliko kuendelea kumvisha kilemba cha ukoka Rais wetu mpendwa ili hali mambo yanaenda kombo hata yeye mwentewe anlitambua hilo.
 
Hivi kuna nchi isiyo omba omba? nitajie hiyo nchi. Ebu acheni ubishi wa kijinga. JK kazungumza point ambazo hata Brown mwenyewe alikuwa anagree.

Agenda ilikuwa kujadili EU crisis na siyo African problems.
 
Tatizo siyo JK. Ni mtandao mzima wa chukua chako mapema. Hawafikiri lolote la maana zaidi ya kuiba na kupita na kutangaza nchi ni maskini. Hata ungemweka nani ndani ya mtandao huu wa xcm hautakuta mabadiliko kwani ukitaka kuleta mabadiliko tu wanakuzuia kwani utablock kula yao na watoto wao. JK kweli ni janga la kidunia lakini wabonfo wenzangu tunayataka haya kwa kuendekeza umwenzetu. Hafai, piga chini, basi! Utashangaa hata humu jf kuna watu bado wana ibada za zidumu fikra. Mnadhani kwa njia hiyo mtaaona jua? Wanajipanga tena ili wachukue uongozi kwa ajili ya kulinda walichoiba. Subirini muone
Huyu jamaa ni janga kweli kweli. Ila nadhani suruhu ni bunge letu kuweka ban mambo ya rais wetu kutembeza bakuri na badala yake nchi iendeshwe kwa makusanyo yake kama baadhi ya nchi za Afrika zinavyofanya. Kimsingi fedha za misaada hazina tija ya moja kwa moja kwa mwananchi wa kawaida na badala yake serikali inajiona inayo pesa ya kutosha kufanya mambo ya anasa kama kununulia mashangingi na kujipandishia posho.
 
Nakubaliana na Haki, hizo comment hazijaandikwa na mzungu.
1. Jina la Brunwick halijakaa Kiingereza kabisa.
2. Walioongezea comments baada ya Brunwick wamechemsha. Comment ya Brunwick mwanzoni was working a treat, but the propaganda has gone overdrive. The comment from Brunwick was too good to be from a "mzungu" who apparently cares for Tanzania.
3. Hao jamaa wana point lakini "kumshitaki" au "kumponda" JK kwa wazungu shows how desperate that propaganda machine is. Changes will come from the Tanzanians, sio kutoka msaada wa wazungu. The sooner you figure that out....the more energy you will save and invest it in a different manner!!

Acheni kulialia, mmemchagua wenyewe. Wala hajaiba kura, angekuwa ameiba, uchungu wenu ungekuwa umemuondoa. So sit back for another 4 years and enjoy the ride!!
 
Magazeti ya hapa nyumbani yanaongoza kwa kucopy and paste habari za humu JF inakuwaje wanashindwa kucopy hii habari ili wananchi wake wajue alivyo ***** si sisi tu tunaomdharau lakin huko duniani hali ni mbaya zaidi. Ni kiongozi asiyefikiri mimi mtazamo wangu hata dini yake inachangia coz Muslim in most case ni beggers muda mwoingi they not working hard.
I advice tusije chagua kiongozi wa type ya Jk coz tutakuja uzwa hivi hivi nafikiri tunatakiwa kuamka sasa. Tumedharilishwa tuseme imetosha.
Dr slaa alisema kumchagua Kikwete ni janga la kitaifa tulifikiri anakosea now i believed it.

Mupirocin

Hivi ni utafiti gani ulioufanya na kuonyesha kuwa Muslims ni beggers, hao omba omba wote unaowaona mjini ni Muslims?? Acha upumbavu wewe!!
Halafu mkitukanwa kwa kuitwa majina machafu mnakasirika.. sikuona kabisa sababu ya kutukana dini ya watu wengine hapa!!
 
Mupirocin

Hivi ni utafiti gani ulioufanya na kuonyesha kuwa Muslims ni beggers, hao omba omba wote unaowaona mjini ni Muslims?? Acha upumbavu wewe!!
Halafu mkitukanwa kwa kuitwa majina machafu mnakasirika.. sikuona kabisa sababu ya kutukana dini ya watu wengine hapa!!

Hii thread has gone too far, kuna huyu/hawa jamaa (inawezekana ni mtu mmoja mwenye ID nyingi possibly Kenyan au a mTz ambaye ni foreign puppet) amekuwa akii-duplicae hii thread kila kona ya JF, hapa international foum tu iko duplicated twice, kwenye business forum, kwenye political forum twice , kwenye sports forum etc etc.

Na ukiangalia lengo lake zaidi ni uchochezi usio wa msingi (ukiwemo udini). Sisi kama waTz tunajua matatizo ya viongozi wetu na tunayafanyia kazi inshallah uchaguzi ujao (2015) tutafanikiwa, lakini hatutaki upupu kama huu undelee kushamiri hapa.:A S-coffee:
 
Aloo, sisi wengine tutaambiwa twamwandama mno JK, lakini ukweli usemwe. Mkuu wetu huyu kwa kweli sijui nisemeje: hana common sense....vile...?
Nimetazama ule mkutano wa Davos na aliekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Gordon Brown. Mpaka ilipofikia yule Heikal kulalamika juu ya bandwidth. Odinga akasema Kenya imerahisisha maambo katika uwekezaji katika reli ya kutoka Msa kwenda Uganda, lakini hajui matatizo ya bandwidth. Ilipofika zamu ya JK kujibu akawa anatoa maneno kama mhuni wa Kariakoo vile, mbele ya mahafali ya dunia!
'Wee Heykal, sisi twataka watu wa kuchangia mpango wa reli kutoka TZ, Rwanda na Burundi, wewe unataka kujenga reli ambayo tayari ipo....Kenya hadi Uganda. Si uje unione badala ya kupiga kelele oh bandwidth nk?'
Nilihuzunika sana.
-Kuna umuhimu gani wa mwekezaji hadi amwone rais wa nchi? Kwani hakuna taaasisi zinazoshughulikia mambo hayo? Moja kwa moja ika click kuwa haya ni yale mambo ya 10% na suti!
Rais anawezaje kutaka kukutana na mfanyibiashara na kutoa wito huo mbele ya mahafali ya Kimataifa?
Infact, JK yaelekea hakuelewa hata kikao kile kilikuwa cha kuzungumzia nini! Bworn aliweka wazi tangu mwanzo kwamba kilichokuwa chatakikana ni fikra gani mpya za kuichukua Afrika kutoka hapa ilipo kuelekea mustakbali.
 
Tatizo siyo JK. Ni mtandao mzima wa chukua chako mapema. Hawafikiri lolote la maana zaidi ya kuiba na kupita na kutangaza nchi ni maskini. Hata ungemweka nani ndani ya mtandao huu wa xcm hautakuta mabadiliko kwani ukitaka kuleta mabadiliko tu wanakuzuia kwani :eyebrows:utablock kula yao na watoto wao. JK kweli ni janga la kidunia lakini wabonfo wenzangu tunayataka haya kwa kuendekeza umwenzetu. Hafai, piga chini, basi! Utashangaa hata humu jf kuna watu bado wana ibada za zidumu fikra. Mnadhani kwa njia hiyo mtaaona jua? Wanajipanga tena ili wachukue uongozi kwa ajili ya kulinda walichoiba. Subirini muone

Kwani asiyeiba hali? Wewe huli? Hiyo ni tamaa na ulafi, roho mbaya ili wengine wasiweze hata kupata hata stahili za msingi..elimu, maji ya kunywa na dawa! Ni kuchukua hatua!
 
wakulu ni bora kupitia topic zingine kabla ya kuanzisha topic mpya...... Nasema hivi kwa sababu mada hii nimeisoma zaidi ya mara mbili...

unayosema ni kweli mkuu LAKINI hebu angalia uzito wa thread hii compared to vichekesho vingi vinavyopostiwa kila siku, NAAMINI INARUDISHWA SABABU HAIJADROO THE REQUIRED ATTENTION.

UKIISOMA KWA UTULIVU , PAMOJA NA KWAMBA SOTE TU MASHAIDI WA HAYO YANAYOSEMWA, UKITAFAKARI KWA MAKINI INATISHA SANA, NA UTASHANGAZWA SANA NA WATANZANIA ESPECIALY KAMA HUWAJUI VIZURI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom