Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Katika ulimwengu wa mahusiano fanya ufanyavyo ila hakikisha furaha ya moyo haitokani na mpenzi wako anavyo kutreat bali furaha yako ya moyo itokane na jambo lingine .
Kuna wakati yes unatamani usikie maneno mazuli kutoka kwa mpenzi lakini huyasikiii,
Kuna wakati unatamani kuona mpenzi wako lakini hafanyi hivyo
Kuna wakati ukiamka asubuhi unatamani ukutane na neno zuli toka kwa mpenzi wako akikuamsha na neno good morning love lakini unakutana neno good morning john inakuwaje
Kama wewe ni mtu wa aina hii basi tegemea kuishi kwa shida sana na maumivu makali mnoo
Kuna wakati yes unatamani usikie maneno mazuli kutoka kwa mpenzi lakini huyasikiii,
Kuna wakati unatamani kuona mpenzi wako lakini hafanyi hivyo
Kuna wakati ukiamka asubuhi unatamani ukutane na neno zuli toka kwa mpenzi wako akikuamsha na neno good morning love lakini unakutana neno good morning john inakuwaje
Kama wewe ni mtu wa aina hii basi tegemea kuishi kwa shida sana na maumivu makali mnoo