Utata waibuka UKAWA

Utata waibuka UKAWA

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
FLIP

11755168_800877693361221_1179078706931129507_n.jpg


FLOP

11059384_800877760027881_5436093761734057465_n.jpg

 
mbowe anapenda sana wakamate madaraka ili mambo yamnyokee,atafanya lolote ndoto yake itimie
 
Inaonyesha ni la zamani hili maana kuna article inaonyesha Nyalandu na Makongoro kuchukua fomu ya kugombea urais
 
mhuuuu haka kamewashika au Ndio maana hata campaign wameshindwa kufanya?????
 
Kwa style hii CCM madarakani miaka 50 ijayo labda wafanye factory setting ya chama cha ukawa kwa mana hakieleweki..kila baada ya muda kinaongezwa nguvu inamana hakijiwezi..jipangeni upya ili mumkalishe Tembo CCM baada ya miaka 50 mbele
 
Kuumwa ni ushahidi kwamba unaishi
Ikulu si ya wagonjwa.


RAIS MTEULE JOHN POMBE MAGUFULI HAKAMATIKI. JANA ALIKUWA KATAVI NA HII NDIYO NGOMA AMBAYO INAMFANYA LOWASA ANACHANGANYIKIWA. FAMILIA YAKE INALALAMIKA KUWA HAPATI USINGIZI WA KUTOSHA NA JANA ALIJIKUTA ANAKWENDA KUPANDA DALADALA ETI KUFAHAMU SHIDA ZA WANANCHI. HATA MJUKUU WAKE ANAMSHANGAA. KULE MBAGALA ALIKOKWENDA SI MBALI NA MWEMBE YANGA AMBAKO ALISIMIKWA KATI YA MAFISADI PAPA KUMI WALIOFILISI NCHI HII NA MHESHIMIWA DR. WILBROAD SLAA. NI DHAHIRI LOWASA ATAZIMIA KWA SABABU AMECHUKUC FEDHA ZA MAKAMPUNI, MAKANISA YA KINA GWAJIMA NA MARAFIKI ZAKE WENGI WAKIDHANI ATAKUWA RAIS. LAKINI NIKIANGALIA NYUSO ZA WATANZANIA NI DHAHIRI ATAPATA KURA ZA WAVULANA NA MATEJA. HATA WATU WA KASKAZINI WAMEANZA KUMKATAA KWA SABABU WANA JITAMBUA NA HAWAKUBALIANI NA SERA ZA CHAMA CHAKE KUIGAWA TANZANIA KWA U ARUSHA NA U KILIMANJARO AU U PROTESTANT. YEYOTE ANAYETAFUTA MTAJI WA SIASA KWA NAMNA HII NI MPUMBAVU ----- NA LOFA LISILOITAKIA MEMA NCHI HII. LITALETA VITA LAKINI TUTALISHINDA TU. KAMA TULIMPIGA NDULI IDD AMINI ITAKUWA HAWA BLUEBUARG??

11885282_1638204389761425_8200455477813418344_n.jpg
 
Back
Top Bottom