Dinazarde,Warumi,Madame B niliwamisoooo mpaka sooo.niliteseka sana kukosa umbea mpaka hivi leo ndo nimepoa kuona mpo hai na bado mnalisongesha humu JF.I laaaaap you wanadamu kinomanoma
Hawa waandishi ni vtuko hapo kwa mama zari kuondoa utata kwani yeye ni DNA na walijuaje kafurahi.
Kwa hiyo anaji- quote mwenyewe?
Basi shuhuli ipo.
Hapanaaa
Maanake huyo simsin huwa anawagwaya watu fulani...
Sasa leo kajichanganya afu kakuta mwenzie ameokoka.
Ahaaaaaaaaa.....hapo nimekupata.
aiseeee.
Ana vinyege mshindo kumbe huyo samsung galaxy
Hii ni samsung Galaxy, Duos inatumia line mbili.
Jamani avatar yako inanitia nguvu! Nijibu baaasi
Hapanaaa
Maanake huyo simsin huwa anawagwaya watu fulani...
Sasa leo kajichanganya afu kakuta mwenzie ameokoka.
Hapanaaa
Maanake huyo simsin huwa anawagwaya watu fulani...
Sasa leo kajichanganya afu kakuta mwenzie ameokoka.
Kutoka sh ngapi mpaka sh ngapi?
Au mganga wako ndo maagizo aliyokupa?
au unaiogopa Cyber?
Labda kwa kuangalia vidole vya miguu hivi hivi akiwa mchanga ni ngumu kutambua mpaka akue.Akinamama wanauwezo wa kutambua bila kutumia VinaSaba...usijaribu kumuuzia mmewako mbuzi kwenye gunia..mama mkwe atakuumbua mchana kweupe!!
nimepanda bei sijibu mtu mpaka nijisikieeeee �� warumi nimekumisooooooooo