Utata wa mtoto wa Diamond, Mama Zari amaliza ubishi..

Hahahaaaaa kwa waislam 40 ya mtoto ni ya muhimu sana.
Hata wakiwa wamechoka vipi watapika hata chai na maandazi kuliko kuiacha ipite hivihivi.
Mi nilikua naskia arobaini ya marehemu tyu kweli usilolijua ni Sawa na usiku wa giza
 
Akii hujastaafugu umbea binamu??? Mwaka huu lazima tulale segerea akiii...yan nimekumis mpaka bhasiiiii....ila ebu mtoe huyo kikongwe kwa profile si bora umuweke kingwendu tu, hiv bibamu yako chige na lusungo wapo??
Mpwa, nipo bize na kampeni, nakugombea udiwani huku Uswahilini kwetu. Karibu Tandika Azimio kwenye kampeni hii leo.
 
Mbona hukunistua nikupigie kampen binamu yangu
Mpwa kampeni za huku kwetu utaziweza wapi wewe wakati ushazoea mambo ya kishua mpwa?! We subiri nipate udiwani, nakuhakikishia fremu za biashara zisizopungua tanoTandika.
 
Nampenda diamond mshabik wa damu
Helo mond!!
Kwanza hongera sana kwa kupata mtoto ingawaje hongera yangu siielewi maana wananichanganya watu eti dogo si wako.
Ila nataka kukushauri Tu rais wangu .o
Me sijasoma saana ila Nina upeo wa kuona mbele kiaina
Issue hipo hv huyo mtoto tiffar najua unapiga nae hela so make sure izo deal za mtoto hela inayolipwa isiende kwenye account yake wala ya mama yake
Yule Ivan ana legal power kubwa sana juu ya zari.akienda mahakamani any time court order ya DNA ya mtoto itatolewa na wewe huwezi zuia.
Na kama mtoto so wako utawanufaisha buree utaachwa hapo bila bila my!
Be careful
Kila hela ya mtoto pokea mwenyewe usiweke kwenye account ya mtoto kwa sasa
Nisamehe kama nimekukwaza mind
Msalimie zari
 
Endeleeni kunyooka,

KESHO SAA TATU CLOUDS TV USIKU

mToto ataonyeshwa live bila chenga, sasa wewe kama unasikiliza maneno ya watu utafikili walikuwepo in the making... angalia asijekukwambia ye babaako ukaanza kumuuliza mamaako maswali mawili mawili
 
Endeleeni kunyooka,

KESHO SAA TATU CLOUDS TV USIKU

mToto ataonyeshwa live bila chenga, sasa wewe kama unasikiliza maneno ya watu utafikili walikuwepo in the making... angalia asijekukwambia ye babaako ukaanza kumuuliza mamaako maswali mawili mawili
sa mi nimekosea nini?
 
Back
Top Bottom