Utata wa mtoto wa Diamond, Mama Zari amaliza ubishi..

Hiyo sura ni daimond wakuu afadhali angufanana na mama yake safii sana kidume wasikubabaishe muongeze mama wa pili tena uwalambishe ndimu humu ndani wanaokorofoka sana watu baadhi
 
Mhhhhhhhhhhhh atakuwa amekusikia. Diamond pokea ushauri huu baba😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Eti hela aweke wapi?
 
Nampenda diamond mshabik wa damu
Helo mond!!
Kwanza hongera sana kwa kupata mtoto ingawaje hongera yangu siielewi maana wananichanganya watu eti dogo si wako.
Ila nataka kukushauri Tu rais wangu .o
Me sijasoma saana ila Nina upeo wa kuona mbele kiaina
Issue hipo hv huyo mtoto tiffar najua unapiga nae hela so make sure izo deal za mtoto hela inayolipwa isiende kwenye account yake wala ya mama yake
Yule Ivan ana legal power kubwa sana juu ya zari.akienda mahakamani any time court order ya DNA ya mtoto itatolewa na wewe huwezi zuia.
Na kama mtoto so wako utawanufaisha buree utaachwa hapo bila bila my!
Be careful
Kila hela ya mtoto pokea mwenyewe usiweke kwenye account ya mtoto kwa sasa
Nisamehe kama nimekukwaza mind
Msalimie zari

Tatizo lako ninii asah?!
 
Nampenda diamond mshabik wa damu
Helo mond!!
Kwanza hongera sana kwa kupata mtoto ingawaje hongera yangu siielewi maana wananichanganya watu eti dogo si wako.
Ila nataka kukushauri Tu rais wangu .o
Me sijasoma saana ila Nina upeo wa kuona mbele kiaina
Issue hipo hv huyo mtoto tiffar najua unapiga nae hela so make sure izo deal za mtoto hela inayolipwa isiende kwenye account yake wala ya mama yake
Yule Ivan ana legal power kubwa sana juu ya zari.akienda mahakamani any time court order ya DNA ya mtoto itatolewa na wewe huwezi zuia.
Na kama mtoto so wako utawanufaisha buree utaachwa hapo bila bila my!
Be careful
Kila hela ya mtoto pokea mwenyewe usiweke kwenye account ya mtoto kwa sasa
Nisamehe kama nimekukwaza mind
Msalimie zari

Yaani unamaanisha Zari anaweza kumgeuka Diamond na kumkwangua pesa zote akishirikiana na her ex Ivan?labda humjui vizuri Zari,yule dada hana njaa ya fedha kwani anamiliki biashara zake kubwa pale Uganda na South Africa.
 
Nampenda diamond mshabik wa damu
Helo mond!!
Kwanza hongera sana kwa kupata mtoto ingawaje hongera yangu siielewi maana wananichanganya watu eti dogo si wako.
Ila nataka kukushauri Tu rais wangu .o
Me sijasoma saana ila Nina upeo wa kuona mbele kiaina
Issue hipo hv huyo mtoto tiffar najua unapiga nae hela so make sure izo deal za mtoto hela inayolipwa isiende kwenye account yake wala ya mama yake
Yule Ivan ana legal power kubwa sana juu ya zari.akienda mahakamani any time court order ya DNA ya mtoto itatolewa na wewe huwezi zuia.
Na kama mtoto so wako utawanufaisha buree utaachwa hapo bila bila my!
Be careful
Kila hela ya mtoto pokea mwenyewe usiweke kwenye account ya mtoto kwa sasa
Nisamehe kama nimekukwaza mind
Msalimie zari

Wabongo bhana ...Sasa mtu kaenda "kuzaa" na mama wa watoto wanne ...mnategemea kwake muhimu ni aliyezaa naye mtoto Mmoja au baba wa watoto wake wanne?
 
Wakati tunatumia internet za TTCL za DSL iikuwa ngumu sana kukuta vi-post vya hovyo hovyo kama hivi!!! Kwanza 1GB ni sh.30,000/= na ukifannya masihara, ndani ya wiki tu imeshakata!!
 
Back
Top Bottom