TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Watanzania wengi tumefurahi kwa shule zetu kupata walimu watakao punguza mass failure kwa watoto wa kitz,lakini je tunajua utata ndani ya ajira hizo,nakupeni kwa uchache tu; 1.walimu wa zamani waliokuwa masomoni wameajiriwa upya 2.walimu wa zamani wame wametoweka na kwenda kwenye vituo vipya[jiulize kwa nini] 3.walimu hawa wakongwe walipoajiriwa awali walilipwa subsistence allowance na sasa tena wamelipwa[double payments] 4.walimu wapya si 23,000 bali ni pungufu ya hapo[sijapata mantiki ya hakiki za watumishi zinazofanywagwa hapa tz kama zinaumakini au hufanywa kwa uzoefu tu.] Nawasilisha naomba tuchangie