Jamani kwa kifupi na kulingana na maelezo mlotoa hapo, kwanza ahsanteni, lkn itimisho linaloonekana hapo ni kwamba hakuna tafsiri rasmi ya kutambua kijana hasa ni nani. Hapa yaonyesha wengi hawaoni kama umri ni kigezo, bali ni namna mtu anavyojiweka, yaani kaaji yake, updated, utendaji wake. Labda aje mtaalamu atwambie, thanks.