Utata bishara ya madawa ya kulevya!

Utata bishara ya madawa ya kulevya!

Simba Mkali

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2012
Posts
620
Reaction score
243
Mwenzenu bado nashangaa na hii biashara ya madwa ya kulevya, mara utasikia yanaingizwa nchini, mara yanatoka hapa kwenda Afrika Kusini, China au nchi za jirani, siku nyingine yanatoka Afrika Kusini kuletwa Tz sasa mbona sielewi au haina soko maalum? kwani shamba liko wapi (Najua Pakitstan) na soko liko wapi au biashara hii siyo kama Mahindi yanatolewa Iringa yanakuja kuuzwa Dar? na mtu hawezi kutoa mahindi Dar kupeleka Iringa na Mbeya, nifafanulieni tafadhali.
 
utabak kushangaa ivo ivo ata jibu hutolipata...........
Mwenzenu bado nashangaa na hii biashara ya madwa ya kulevya, mara utasikia yanaingizwa nchini, mara yanatoka hapa kwenda Afrika Kusini, China au nchi za jirani, siku nyingine yanatoka Afrika Kusini kuletwa Tz sasa mbona sielewi au haina soko maalum? kwani shamba liko wapi (Najua Pakitstan) na soko liko wapi au biashara hii siyo kama Mahindi yanatolewa Iringa yanakuja kuuzwa Dar? na mtu hawezi kutoa mahindi Dar kupeleka Iringa na Mbeya, nifafanulieni tafadhali.


 
Majibu mazuri utayapata kwa vijana wa CCM na viongozi wao wenye ofisi pale Lumumba.
Hawa ndio wafanyabiashara wazuri wa madawa ya kulevya, au kwa njia rahisi ukipata kukutana na "punda" (green guard) muulize atakupa ishu nzima jinsi inavyoratibiwa na kuekelezwa.
 
hawa jamaa wanafanya ivo kwa case ya usalama na pia soko kwa mfano mtu amechukua mzigo pakistan labda anatka apeleke mzigo uk so unakuta uk kuna ulinzi mkali hasa kwa abiria wanaotoka kwnye nchi zinazozalisha madawa ya kulevya sasa ili kuwapoteza maboya hyo drug dealer anakuja bongo kwanza anabadilisha passport then ndyo anaenda uk
 
Routine ya drugs iko hivi!! From Pakistan to Tz by ships or boats!! Bandari Tanga, Dar bandari Bubu Bagamoyo au Kawe! Zanzibar pamoja na mtwara!! Kutokana na kulegea kwa udhibiti ndio mizigo inaingia humo!! Sasa hapa dar ndio Kila drug dealer ana supply mzigo china, South Africa, Japan, Europe and Brasil hapo sasa ndio punda wanahusika! Wakumeza au kubeba vifurushi!! Na airport ndio inapitisha. Sasa hivi Tz haipokei drugs kutoka SA ila SA. Inalishwa kutokea bongo!!
 
Zamani wakati hatuna viongozi wauza madawa, ndio yalikuwa yanakuja toka south, ss hali imebadilika bongo ndio kiungo.
 
Duh kaazi kwelikweli Simba mkali na ukali wako wote hii imekushangaza! Huelewielewi mizigo inamove in and out out and in of tanzania kama treni inafanya shunting hujui inakwenda mbeleee nyumaaa au inapark hahaha
 
Nadhani wafanyabiashara washakujibu. Kama majibu hayajaridhisha subiri wafanyabiashara wengine warudi toka safarini walikopeleka mzigo
 
Hii mambo sasa imekuwa too much.......
 
tusipochukua hatua tutakwisha wote vijana,tutakamatwa huko nje,tutafungwa miaka mingi,kunyongwa na watumiaji kufa bila sababu na hasa taifa letu kuwa la kibabe(state capture) kama colombia,na nchi zingine za amerika ya kusini.
 
Back
Top Bottom