Utaratibu wa talaka ukoje?

Mkuu hebu tueleze tatizo ni nini adi umefikia hatua ya Kudai/kutoa talaka. Pengine utapata mawazo mazuri
 
Loh! Nitahamia Uingereza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Talaka ya nini ilhali mnatengana tu kwa muda kila mmoja atamkumbuka mwenzie mtatafutana na mtaendelea kubanjuana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…