Utaratibu wa kusoma vitabu

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
38,658
Reaction score
49,094
Ndugu zanguni, hakuna jambo jema kama kujisomea vitabu...


Unapata mambo mengi sana...

Badala ya kuangalia TV , au kupoteza muda sana na gadgets zako,

Nashauri ununue vitabu uwe unajisomea

Utashangaa jinsi ufahamu unavyoongezeka....

Si rahisi kurubuniwa na watu rahisi rahisi..

NI utamaduni mzuri..
 


upo sahihi kabisa... ila pia hutegemea na vitabu gani unavyosoma....

ufahamu katika mambo gani hasa ndo muhimu....

kurubuniwa katika lipi maana huwezi kusoma vitabu vyote duniani...

na pia hakuna utamaduni ulio mzuri kuliko mwingine na mbaya kuliko mwingine...
asaaaaante kwa ushauri.
 
Mkuu great leaders are great readers

Ukisoma hata kakitabu ka-tuni taratibu utashangaa jinsi ufahamu unavyoongezeka..

Sio lazima usome mavitabu mazito kama ya kina Watles...
 
mkuu ata vitabu vya udaku? fafanua vitabu gani?
ukiweza hata hivyo ili mradi kitabu, hata kwenye udaku kuna ya kujifunza, maana udaku unatoka katika jamii tunayoishi..
 
ni vema basi kama tukiambiana vitabu vzuri ambavyo umewah kuvipitia vinavyoweza kubadili maisha yako. tupia tittle hapo kwa msaada zaidi.
 
ni vema basi kama tukiambiana vitabu vzuri ambavyo umewah kuvipitia vinavyoweza kubadili maisha yako. tupia tittle hapo kwa msaada zaidi.
Success Habits cha Napoleon Hill ni kizuri kitafute ukisome...me nakaribia kukimaliza!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…