nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 6,270
- 7,768
Samahani, ningependa kujua utaratibu wa mtu kuitwa kituo cha polisi
Ipo hivi, leo mida si mirefu, nimepokuta missed call kwenye simu yangu. Nilipopiga, nikauliza mwenzangu nani maana nimekuta missed call?
Ndipo alipojitambulisha kuwa ni askari kutoka kituo fulani cha polisi. Hivyo inatakiwa nifike jioni maana kuna jambo limetokea.
Shida yangu ipo kwenye utaratibu wa kuitwa kituo cha polisi maana sijawahi kuitwa. Je, inatakiwa nikipigiwa simu na mtu nisiyemjua akaniambia niende kituoni inabidi niende au unaweza ukawa mchezo? Maana najaribu kujiuliza ni wapi nimekosea mpaka niitwe kituoni sioni.
Naomba msaada wa maelekezo yenu
Ipo hivi, leo mida si mirefu, nimepokuta missed call kwenye simu yangu. Nilipopiga, nikauliza mwenzangu nani maana nimekuta missed call?
Ndipo alipojitambulisha kuwa ni askari kutoka kituo fulani cha polisi. Hivyo inatakiwa nifike jioni maana kuna jambo limetokea.
Shida yangu ipo kwenye utaratibu wa kuitwa kituo cha polisi maana sijawahi kuitwa. Je, inatakiwa nikipigiwa simu na mtu nisiyemjua akaniambia niende kituoni inabidi niende au unaweza ukawa mchezo? Maana najaribu kujiuliza ni wapi nimekosea mpaka niitwe kituoni sioni.
Naomba msaada wa maelekezo yenu