Utaratibu wa kuhama chuo kikuu upoje?

Utaratibu wa kuhama chuo kikuu upoje?

mwanakijiji lugusi

Senior Member
Joined
Apr 13, 2016
Posts
128
Reaction score
98
Habari wana Jf mimi ni first year tarajali na nmekosa mkopo je nifanyeje ili nihamie Chuo kilicho karibu na home ili familia ikasimamie show kwenye ada na mahitaji yangu mengine nikiwa chuo.
 
Ukimaliza registration chuon. ndo transifer na wale wa kubadili course mta ambiwa tu
 
Registration si lzm nilipenda ada kwanza kabla ya kuhama?je na Chuo ninachohamia si lazma niwe na ada
 
Hatua ya kwanza ni kujua kama chuo unachotaka kuhamia kina nafasi ya kukupokea
Mengine sijui
 
Habari wana Jf mim ni first year tarajari na nmekosa mkopo je nifanyeje ili nihamie Chuo kilicho karibu na hom ili familia ikasimamie show kwenye ada na mahitaj yangu mengine nikiwa university
Just wait tarehe 5 nov Tcu watafungua transfer window,nadhani wataelekeza hatua za kufuata.
 
Back
Top Bottom