Utapeli wa mtandaoni

salehe93

Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
10
Reaction score
0
Habari msomaji!

Nataka kuliweka wazi ili suala la utapeli unaozid kuenea kila siku na wengi wakiwa ni waanga, kuna matangazo mengi ya kibiashara hususani yale yanayo postiwa #zoom, tupatame..... nk, na wengi
 
Wengi wanapigwa kwa kutotumia akili we mtu unaambiwa eti TV ambayo thamani yake 2 mls unaambiwa eti laki 7 mpya kabisa. Hivi kwanini usishtuke?
 
kuna wanaopiga simu wanakwambia umeshinda zawadi kutoka voda tafuta simu nyingine tukuelekeze jinsi ya kupokea zawadi, ukijichanganya kufuata hayo maelezo lazima ulizwe.
 
Tanzania hakuna utapeli bhna. Ni ujinga tu na kupenda kitonga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…