Gheto's King
Member
- Jun 27, 2012
- 11
- 0
Kampuni hii imekua ikijiendesha kwa ujanja ujanja Wa kudhulumu hali za msingi katika mikataba wanayoingia baina yao na Wateja wao.mfano mteja katika mkataba wake ana kipengele cha Ku clear deni LA mkopo pindi atakapotaka kufanya hivyo, shida inakua kutokea wakati mteja amejaza documents zake zote zinazohitajika kwa ajili ya kupata hiyo quotation toka makao makuu, mteja akishajaza kwenye branch aliyoombea mkopo, fomu zile hutumwa mako mkuu kupitia kwa zonal manager mfano kwa Kilimanjaro zonal manager yupo Arusha,
Then huyu huyaprocess maombi kwenda makao makuu, then makao makuu wanapaswa akupe balance yako kupitia kwa zonal manager, kila kinachotoke hapo ni kua zonal manager au makao makuu wanakalia hizi documents hawakupi chochote then mteja unaendeleaje Ku subiri ukidhani walafanyia kazi kumbe washaachana Nazo. Hapo wanaendelea kukukata kama kawaida. Kwa lugha rahisi wana vunja mikataba na hakuna MTU Wa kuwafatilia tu naomba mamlaka zinazohusika na ufatiliaji Wa makumpuni hata yanayofanya biashara na namna hii hawa hawa Bayport wamulikwe kwa hicho LA kipekee ni zaidi ya matepeli waliokubuhu.
On the same time fomu zao wanaandika maombi yako yatafanyiwa kazi ndani ya siku 7za kazi lakini waweza kaka hadi mwaka usione chochote. Bayport acheni wizi ndio mana Wateja wenu wengi wanakwambia sababu biashara yenu kila MTU amegundua INA wizi ndani yake. Na nadhani ni vyema sasa hivi muwe unaburuzwa hadi mahakamani kwa utapeli huu Wa wazi kabisa. Wezi nyinyi. Zonal manager Wa Kanda ya kaskazini ofisini ya Arusha una shida kubwa sana
Then huyu huyaprocess maombi kwenda makao makuu, then makao makuu wanapaswa akupe balance yako kupitia kwa zonal manager, kila kinachotoke hapo ni kua zonal manager au makao makuu wanakalia hizi documents hawakupi chochote then mteja unaendeleaje Ku subiri ukidhani walafanyia kazi kumbe washaachana Nazo. Hapo wanaendelea kukukata kama kawaida. Kwa lugha rahisi wana vunja mikataba na hakuna MTU Wa kuwafatilia tu naomba mamlaka zinazohusika na ufatiliaji Wa makumpuni hata yanayofanya biashara na namna hii hawa hawa Bayport wamulikwe kwa hicho LA kipekee ni zaidi ya matepeli waliokubuhu.
On the same time fomu zao wanaandika maombi yako yatafanyiwa kazi ndani ya siku 7za kazi lakini waweza kaka hadi mwaka usione chochote. Bayport acheni wizi ndio mana Wateja wenu wengi wanakwambia sababu biashara yenu kila MTU amegundua INA wizi ndani yake. Na nadhani ni vyema sasa hivi muwe unaburuzwa hadi mahakamani kwa utapeli huu Wa wazi kabisa. Wezi nyinyi. Zonal manager Wa Kanda ya kaskazini ofisini ya Arusha una shida kubwa sana