Ebu niambieni kuhusu wanyamwezi,wanyakyusa na wameru
Hakuna wanawake wanafiki kama wapare!fuatilia hata huyo uliyenae utagundua!
mm nitaenda umasain mana tutasaidiana yeye akija kuchoma mkuki kwangu na mm ninaweka bunduk kwake. vipi kuhusu warangi
vp kuhusu wambulu?
Hakuna wanawake wanafiki kama wapare!fuatilia hata huyo uliyenae utagundua!
Hujitaki eeh?nitaoa mha wa kigoma