Loyal_Merchant
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 623
- 267
- Thread starter
- #41
Wewe hebu taratibu size ina matter sana hebu acha uongo wako hapa...........
@dena, size inamata vipi..?
Wewe hebu taratibu size ina matter sana hebu acha uongo wako hapa...........
Wewe hebu taratibu size ina matter sana hebu acha uongo wako hapa...........
Na siachwi ng'o amependa mnara wa Vodacom amesema hawezi kuuacha lolHivi bado hujaachwa......????
Aaahh!!!mmmh!
.
Ngoja nikachukue vipimo leoSize ya kichwa cha pili cha mwanaume umeelewa sasa???
Ukisikia watu wanasema size haimati jua wao ni size 3 kwenda chini....SIO MANEN YANGU MI NILISIKIA MAHALI!
Ngoja nikachukue vipimo leo
Na siachwi ng'o amependa mnara wa Vodacom amesema hawezi kuuacha lol
Ha ha ha ha wewe Lizzy wewe huwaogopi ngoja waje hapa shauri yako
Siku zingine nikipima nakuta size 25 siku zingine nakuta size 19 yaani sio stable size inakuwa ikibadilika kwa mfano nikila nikienda kupima nakuta hadi size 26 nikiwa sijala nakuta hata size 18Wewe size yako huijui???
Halafu wewe lolMHHHHH basi kuna mtu ana madolari anakushikia pembeni.....siunajua hata achumaye anahitaji wa kula nae....!
Halafu wewe lol
Hahahahah....ndo maana nimesema mapema mi nilisikia tu!!!Ila nadhani kuna kaukweli kwa mbaaaaali!!!
Siku zingine nikipima nakuta size 25 siku zingine nakuta size 19 yaani sio stable size inakuwa ikibadilika kwa mfano nikila nikienda kupima nakuta hadi size 26 nikiwa sijala nakuta hata size 18
Muone kwanza macho kama McDonald's BurgerHutaki sasa???We unadhani kuku choma unayokula inagawanywa bure ehhhhhhhh?:happy:
Muone kwanza macho kama McDonald's Burger
Kuna mdada niliwahi kusikia anasema "Dah yule mkaka kichwa chake cha pili kikubwa kweli kama fenesi" sasa sijui cha pili kipi
siku nyingi sana,kwani ulikuwa hujui we handsome??Dah!!! Nimepita mtihani