dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,907
- 8,246
Namfahamu. Hope uliplay safekaka nilishapata Mtoto mmoja anaitwa Martha she is so beautiful
Namfahamu. Hope uliplay safekaka nilishapata Mtoto mmoja anaitwa Martha she is so beautiful
Mkuu inaonesha unakula sana kukuWozaaaa wapi the great... Hahahah
Kuku wapiii njaa tuu chief,.Mkuu inaonesha unakula sana kuku
Mikasani
KB paradize
London Bar
Toroka uje au
Kwa ngatunga pesa
Kuku wapiii njaa tuu chief,.
Hahahaah mnasemaga hivyo hivyo nyieKuku wapiii njaa tuu chief,.
Kwelii,tunataja tuu wengine lakini hali si hali,..Hahahaah mnasemaga hivyo hivyo nyie
Kama wasemavyo watoto wa mjiniKwelii,tunataja tuu wengine lakini hali si hali,..
Kama wasemavyo watoto wa mjini
Watapata tabu sana
hahaa ..genta ameshakuharibu weweKizuri kula na nduguyo fanya basi mpango wa namba nikamtambalizie kwa kutukuka
Ha ha haha haha hahaKuna mshikaji kavuta goma hapo 40-40 asubuhi tungi limeisha ndiyo anagundua dem ana mimba ya kukaribia kujifungua
Hahahahah hii kaliKuna mshikaji kavuta goma hapo 40-40 asubuhi tungi limeisha ndiyo anagundua dem ana mimba ya kukaribia kujifungua
mkuu yule ''jambazi'' ni mdogo wakoHilo sio jina lake halisi.
mkuu hapo ndio utakapo jua maana ya mbwa kala mbwaukiendekeza sana ulabu na umalaya waweza jikuta siku moja unakutana na Dada yko " club " kutokana na wote wawili kuzidiwa na vilevi mnashindwa kutambuana " so mnakubaliana mkapeane 1 night stand ...panapkucha pombe imeisha kichwani mnajikuta mkiwa lodge uchi " pamoja ""....
hapo ndio utajua " nini maana ya kizai Zai
hahaha kweli chief ..." ukiwa unapenda sana pombe jiandae " kuwa unawatafuna mashemeji zako " ma house girl " kuna wengine pombe huwa zinawapeleka mbali " mpaka huanza kuwa tamani Watoto wao "".. mtihani sana mkuumkuu hapo ndio utakapo jua maana ya mbwa kala mbwa
Sasa wewe kuku umemfuga mwenyewe toka kifaranga kimekua unaogopa kukitafuna...kula tu mkuuhahaha kweli chief ..." ukiwa unapenda sana pombe jiandae " kuwa unawatafuna mashemeji zako " ma house girl " kuna wengine pombe huwa zinawapeleka mbali " mpaka huanza kuwa tamani Watoto wao "".. mtihani sana mkuu
duuuuhh"" hahaha haha ...akili za watu wa Jf ukizipeleka uraiani lazima upigwe maweSasa wewe kuku umemfuga mwenyewe toka kifaranga kimekua unaogopa kukitafuna...kula tu mkuu
Haaa mkuu huku 100%local yaani utalii wa ndani na kuminimize cost, watasha mbona wapo elements,next door, backets na viwanja kibao vya masakini ,kawe triple7Hivi nafikaje 40-40 kutokea huku Bunju? Nataka nije nione hiyo misifa mnayoiweka hapo kama inafikia hapa Kibo Complex-Tegeta. Huku tunatafuna hadi wazungu aisee....!
we hutafuni vifaranga mkuuduuuuhh"" hahaha haha ...akili za watu wa Jf ukizipeleka uraiani lazima upigwe mawe