IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,452
- 7,357
....40/40 ni pa kawaida saaaana,..na wahudumu wa kawaida piaHivi nafikaje 40-40 kutokea huku Bunju? Nataka nije nione hiyo misifa mnayoiweka hapo kama inafikia hapa Kibo Complex-Tegeta. Huku tunatafuna hadi wazungu aisee....!
....ila kuna mhudumu mmoja kule ndani ndio yuko sawa sana