Wiki iliyopita nimesikia kulitokea zogo kubwa baada ya jamaa kumchafua makalioni sharobaro mmoja kwenye basi aliyevalia suruali chini ya makalio(sio kati) kwahiyo mashorobaro kwenye daladala vuteni suruali juu mkishuka ndio mshushe la sivyo mtatumika kama kinadada na mabasha.Je kinyume chake? Dume la miraba minne liko nyuma yako mkono mmoja kwenye bomba na wa pili chini unauhisi karibu na kata K yako, basi limeshona linafunga breki ghafla utajisikiaje? bado utapata raha?
Kazi ipo kweli kwelimkuu ishantokea hyo kumbe binti nae akawa anaskia raha kale kajoto kufika kituo flani akanambi nashuka kituo kinachofuata,sikuelewa kumbe alikua anamaanisha tubadilishane contact kabla hajashuka.................huh
<br />Je kinyume chake? Dume la miraba minne liko nyuma yako mkono mmoja kwenye bomba na wa pili chini unauhisi karibu na kata K yako, basi limeshona linafunga breki ghafla utajisikiaje? bado utapata raha?
mkuki kwa nguruwe eh??<br />
<br />
hapa sina mchango. Huo moto wake sijui nani angeuzima.