habari wana mmu
yan tokea nianze kitendo cha kukutana kimwili na mwanaume cjawahi kusikia raha kamili ya mapenzi nisaidieni tatizo no nini
Hawezi huyo labda amuombe tyta amsaidie.wekamo picha basi!
Sasa wewe ukikutana na mwanaume ndio unataka usikie raha? Mbona watu kibao wanakutana huko barabarani, sokoni, kazini na sijawahi kusikia wakilalamika kwamba wamesikia raha au la. Sasa iweje wewe ulalamike?habari wana mmu yan tokea nianze kitendo cha kukutana kimwili na mwanaume cjawahi kusikia raha kamili ya mapenzi nisaidieni tatizo no nini
JF kweli kuna washauri dah nimecheka sana aiseeKabla ya tendo osha hiyo kitu na juice ya pilipili then mpe jamaa apige...
Gari linauzwa, rav4 iko na hali nzuri, haijatembea sana, rangi ya silver, milango mitano, bei maelewano na siuzii shida, karibuni