kuna mdada mmoja nilimuuliza juu ya maeneo akiguswa/chezewa upata utamu,akanitajia kama matano.kisha akanigeuzia swali hilo kwangu,nilikuwa na jibu moja, kwamba utamu naupata wakat nakojoa tu.msaada tafadhari kama kuna sehemu nyingine iletayo utamu ndani ya 6 kwa 6 kwa mwanaume