Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,350 Dec 7, 2012 #4 DUh halafu ndo iwe mbuzi Katoliki umeiremba kwa ndimu na chachandu hasara kubwa mnoooo!!!
A adolay JF-Expert Member Dec 8, 2011 12,101 14,478 Dec 7, 2012 #5 Halafu ndo akiba mfukon wala stoo hakuna kitu na niusiku, mwe unalala njaa hivihivi unaona au vipi unazoa kimtindo!
Halafu ndo akiba mfukon wala stoo hakuna kitu na niusiku, mwe unalala njaa hivihivi unaona au vipi unazoa kimtindo!
misnomer JF-Expert Member Apr 13, 2011 200 69 Dec 7, 2012 #6 Kwa waliopitia JKT hakuna hasara hapo, ni kuzoa tu na kuendelea na makamuzi.
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Aug 10, 2012 47,864 41,228 Dec 7, 2012 #9 englibertm said: alamba alamba tena amuuu,amuuuuu Click to expand... asante sana
hetu Senior Member Jun 21, 2010 109 28 Dec 7, 2012 #10 ohooo sass itakuwaje yaani nilale na njaa kabisa
Gody JF-Expert Member Apr 16, 2010 1,246 411 Dec 7, 2012 #11 hetu said: ohooo sass itakuwaje yaani nilale na njaa kabisa Click to expand... No haiwekani nitazoa ntaweka kwenye sufuria af ntaweka maji mengi mchanga utaenda then mimi ntaoopoa mambo heli nile bila ladha kuliko kulala na njaa!
hetu said: ohooo sass itakuwaje yaani nilale na njaa kabisa Click to expand... No haiwekani nitazoa ntaweka kwenye sufuria af ntaweka maji mengi mchanga utaenda then mimi ntaoopoa mambo heli nile bila ladha kuliko kulala na njaa!
D dilemma Member Oct 13, 2012 35 7 Dec 7, 2012 #12 Hapo 'bacteria' na vimelea vingine vimeruka, kwa mseja hapo hakuna tatizo. Shida ni kwa wale waliooa/walioolewa na wana nyodo. Huyo jamaa anavyoonekana hana ubavu wa kususa.
Hapo 'bacteria' na vimelea vingine vimeruka, kwa mseja hapo hakuna tatizo. Shida ni kwa wale waliooa/walioolewa na wana nyodo. Huyo jamaa anavyoonekana hana ubavu wa kususa.
mwaJ JF-Expert Member Sep 27, 2007 4,074 2,947 Dec 7, 2012 #13 Amefanana na Bujibuji! Yaani hapo haamini kilichotokea. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Tayana-wog JF-Expert Member Feb 26, 2012 23,144 26,651 Dec 7, 2012 #14 gody said: No haiwekani nitazoa ntaweka kwenye sufuria af ntaweka maji mengi mchanga utaenda then mimi ntaoopoa mambo heli nile bila ladha kuliko kulala na njaa! Click to expand... Ha haaaa
gody said: No haiwekani nitazoa ntaweka kwenye sufuria af ntaweka maji mengi mchanga utaenda then mimi ntaoopoa mambo heli nile bila ladha kuliko kulala na njaa! Click to expand... Ha haaaa
hovyohovyo JF-Expert Member Jul 8, 2012 547 157 Dec 7, 2012 #15 Jamaa haamini macho yake! kisha bajeti pia kama imepinda ....
Columbus JF-Expert Member Nov 5, 2010 2,002 648 Dec 7, 2012 #16 Wewe usikie tu "Ukimwaga mboga mimi namwaga ugali" shuhuli yake ni nouma.
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 8, 2012 #19 kinalika kabisa hichoi bila chenga
Kunta Kinte JF-Expert Member May 18, 2009 3,688 1,282 Dec 8, 2012 #20 Ase dunia mashaka ya aina mbalimbali!!