DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 302
- Thread starter
- #21
Maendeleo Ni mipango sio kulipwa mamilion mengi kwa mwezi mmoja, hana akili ya maisha tu, kazi anayo tena ina mshahara mzur ajipange atapiga bingo,
Ni kweli, lakini unaonaje kama una mipango mizuri halafu na kipato kiko vizuri!!. Tatizo la huyu dogo degree ni hiyo hiyo lakini ameachwa mbali sana kimapato kwa mara 4. Anafikiri kufaulu sana kwake ndio kumemponza!!