Haka kahadithi ka kitoto kamenikumbusha nilipokuwa chekechea....Umepata safari kikazi wakati wa kupanga nguo zako mke wako anakuletea box la condom in case ikitokea dharura utumie unapokea kwa furaha na kusema asante kwa kunijali mke wangu, wakati upo kwenye gari mkeo anakukimbilia anakuomba pakiti moja kama na yeye akipata dharura atumie, je utampa??
Haaaahaaaaa!!!! Hii inaitwa mkuki kwa nguruwe.Umepata safari kikazi wakati wa kupanga nguo zako mke wako anakuletea box la condom in case ikitokea dharura utumie unapokea kwa furaha na kusema asante kwa kunijali mke wangu, wakati upo kwenye gari mkeo anakukimbilia anakuomba pakiti moja kama na yeye akipata dharura atumie, je utampa??
uje teeeena shangazi shangazi shangazi chei shangaziHaka kahadithi ka kitoto kamenikumbusha nilipokuwa chekechea....
Hadithi hii kakufundisha nani? Kakwambia inatufundisha nini??
haya mpigieni makofi
Afu tunamalizia na cheichei shangazi...
unampa kiroho saaaafiKwanini usimpe?
Kumbe na wewe mkubwa enh??uje teeeena shangazi shangazi shangazi chei shangazi
Yani kama ye alivompa kiroho safiunampa kiroho saaaafi
mkubwa ila niligandisha miakaKumbe na wewe mkubwa enh??
hapo sasa ye alipokeaje mi nisipokeee wote tunajali.afya atiYani kama ye alivompa kiroho safi
Nampa bila hiyanawewe unaweza kutoa box zima??
Iko hivi, nitachukua halafu sitatumia.Umepata safari kikazi wakati wa kupanga nguo zako mke wako anakuletea box la condom in case ikitokea dharura utumie unapokea kwa furaha na kusema asante kwa kunijali mke wangu, wakati upo kwenye gari mkeo anakukimbilia anakuomba pakiti moja kama na yeye akipata dharura atumie, je utampa??
ntampahela akanunue dukani nyingineUmepata safari kikazi wakati wa kupanga nguo zako mke wako anakuletea box la condom in case ikitokea dharura utumie unapokea kwa furaha na kusema asante kwa kunijali mke wangu, wakati upo kwenye gari mkeo anakukimbilia anakuomba pakiti moja kama na yeye akipata dharura atumie, je utampa??