Killerman JF-Expert Member Jan 10, 2011 326 183 Dec 14, 2013 #1 Hodiiiiii janvini, ni mgeni jamani, naomba mnipokee na kusamehewa kama ntakosea, mwanaume by jinsia, m2 wa kusini. Ila naamini janvi ni la watanzania wote... Asanteni.
Hodiiiiii janvini, ni mgeni jamani, naomba mnipokee na kusamehewa kama ntakosea, mwanaume by jinsia, m2 wa kusini. Ila naamini janvi ni la watanzania wote... Asanteni.
y-n JF-Expert Member Apr 20, 2013 2,389 2,500 Dec 14, 2013 #2 karibu n'jooomba,chi umekuja na ming'oko au ndo umeichahau Kuchini?bha
Ushimen JF-Expert Member Oct 24, 2012 37,213 85,338 Dec 14, 2013 #3 Karib sana mkuu, na asante kwa kujitambulisha kikamilifu
Killerman JF-Expert Member Jan 10, 2011 326 183 Dec 14, 2013 Thread starter #4 y-n said: karibu n'jooomba,chi umekuja na ming'oko au ndo umeichahau Kuchini?bha Click to expand... nimekuja nayo kaka, uchiofu ntakuletea kadili chiku chinavyokwenda... bhaaaa bwanaweweeee
y-n said: karibu n'jooomba,chi umekuja na ming'oko au ndo umeichahau Kuchini?bha Click to expand... nimekuja nayo kaka, uchiofu ntakuletea kadili chiku chinavyokwenda... bhaaaa bwanaweweeee