Utalii wa maajabu Mbeya

Utalii wa maajabu Mbeya



Daraja hili si dogo kama watu wanavyofikiria, huo ni mto Kiwira unaoishia Ziwa Nyasa.
 
Mungu naye anaangalia, sasa huko asingeweka hilo daraja hadi kusubiri daraja la gavument si lingewachwea?
 

imondo(mateorite) kinachoaminika kuwa ukubwa wake ni wa nne kwa vilivodondoka toka anga za juu.
Kiko sehemu za Mbozi.
 
5377512006_a93a7fb54c_z(1).jpg


Volcano crater Lake Ngosi.
Ziwa linalosemekana la maajabu, wenyeji wanyakyusa na wasafwa wanahadithia kuwa hilo ziwa "lilicheza" na kuhama toka sehemu lilipokuwa awali.
Ziwa lina kina cha karibu mita 100, wazee wa hapo karibu wanasema sharti upige hodi kabla ya kukaribishwa hapo.
 

Kapologwe Falls, maaanguko yanayopita juu ya pango, nje kidogo ya mji wa Tukuyu.​
 
Duh ni nzuri aisee, hembu tuletee photos zingine, nikiwa na nafaasi nitatembelea huko maeneo... Hivi ni wapi wamesema kuna maji ya mto/ziwa flani yana joto/moto in such away ukiweka yai linaiva>> Nadhani smomewhere Mbeya hukohuko
 
Well done ! good collection, jamani tu share vivutio kama hivi!!!!!
Safii sana mwaki....!!
 
Duh ni nzuri aisee, hembu tuletee photos zingine, nikiwa na nafaasi nitatembelea huko maeneo... Hivi ni wapi wamesema kuna maji ya mto/ziwa flani yana joto/moto in such away ukiweka yai linaiva>> Nadhani smomewhere Mbeya hukohuko
Mkuu sehemu za kuzunguka mlima Rungwe kuna maajabu mengi ambayo hayatangazwi.
Sehemu za maji moto ni nyingi sana, na yanakuwa maji yaliyochnganyika na gesi ya carbon dioxide.
 
Nimeipenda sana hii kitu ni vivutio vizuri sana ambavyo vikipewa vipaumbele vya kutangazwa basi huenda wenyeji watanufaika lakini na taifa pia
 
Mkuu umenikumbusha enzi hizo, 2002 nilipita kote huko kuona Tanganyika yetu asilia inavyopendeza.
 
Tumejaaliwa vitu adimu sana, lakini tunashindwa kujitangaza
 
safi sana mtoa mada! tengeneza booklet zilizosheheni picha lukuki feed na contact zako kuwa tour operator kwa mkoa wa mbeya usikate tamaa mwanzo mgumu
 
zi zi zi zi wizara ya utalii zi zi zi zi zi wamebaki wanabanana dar wakati vivutio viko mikoani
 
Back
Top Bottom