Alloyce PR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 590
- 706
"Utalii wa kisiasa ni pale ambapo mwenzako anazindua Ilani kwa ajili ya wananchi, wewe unashughulika kuimba taarabu kwa wananchi majukwaani na mitandaoni." — Alloyce, P.R.
Nimekunywa mkuu, 😂😂😂Mkuu,
Umepata kifungua kinywa kweli leo😁
Maana sio kwa mafumbo na spana.
Hapo sawa ujumbe murua na ufike pande zoteeeNimekunywa mkuu, 😂😂😂
"Hakuna maana ya kumkomboa Mwafrika kiuchumi kama bado amefungwa kifikra, maana utumwa wa akili ni hatari zaidi kuliko utumwa wa mali." — Alloyce, P.R.Watanganyika wamechoshwa na;
Umasikini.
Ujinga.
Maradhi.
Miaka 64 ya uhuru maadui hawa bado wanatutesa mno.