Utakuwa wapi Oktoba 25, 2015?

Utakuwa wapi Oktoba 25, 2015?

Ukiacha udadapoa na akili zitakurudia.
Hapo ulipo si shemeji akija tu unamshobokea anakutoa? Subiri siku akichafukwa utaenda kujiuza pale kimboka 🙁

Kurukaruka kwa maharage ndiyo kwake wewe tengeneza njia ya JPM kuingia Ikulu, unajidai kupoteza kumbukumbu wakati ukweli unaujua!
 
Nitawahi kituo cha kupigia kura nikiwa full na kila kitu kinachohitajika (kichinjio,hot pot ya msosi etc)nikimaliza nitakaa mita 100 kutoka kituo changu ili kusubiri matokeo mpaka yatangazwe ili nishuhudie damu ya chama cha zamani ikimwagika baada ya kichinjio changu kutenda haki.

usisahau kalamu mkuu
 
Back
Top Bottom