Utajuaje upo Afrika?

Hvi mshawahi kutumia unga wa peke la parachichi kama majani ya chai
 
"
I)Mzazi anazaa ili aje kusaidiwa uzeeni na mtoto
ii)"Amejiteka mwenyewe".
iii)ujanja ni kuwa na simu ya gharama Kama Iphone.

Ongezea
Makanisa mengi yaani mtaa mmoja una makanisa kama matano
 
Only in Kenya or where TZ?
Ni nchi moja wapo huko afrika mashariki viongozi wake wanaamini bila uchawa uwezi pata teuzi naukijifanya mjuaji wa kuwakosowa fahamu unasiku chache za kuishi duniani utatekwa na watu wasiojulikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…