tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 499
kumekuwa na uongezekaji wa bidhaa feki ambazo zimezoeleka kwa jina maarufu za kichina! Ila leo napenda kuwajuza juu ya kutambua samsung galaxy original na feki , hiyo picha hapo juu ni picha ya simu ya mkononi kutoka kampuni ya samsung ya uko korea kusini,lakini kutokana na hali ya kibiashara makampuni yamebuni cm kama hii ya ghalama nafuu utatambuaje? 1: Angalia bei orginal hii uwa inasimama kati ya 600000 na 400000 na feki ni 150000 na 200000 na pili uitambue kwa kupiga *#0*# itatokea picha hapo ni mbwa amelala kama akutokea uyo mbwa bc iyo feki kuwa makini