kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,663
Naweza kubaliana na wewe kwanza sorry kwa kukufananisha.Unajua mapenz yana pande 2 wakti ww unaonyesha kumpenda yeye haonyeshi kujari na wakat ww unapochoka yeye ndo anastuka hata cjui mapenzi yanakua hv.na km napewa chance kumshaul m2 ctomshaur kuingia kwenye uhucano coz hakuna lolote atalopata zaidi ya maumivu.Husninyo mapenz haya we acha 2.but always Waliomo wanatamani kutoka na walioko nje wanatamani Kuingia.pole zaommh! Duniani wawili wawili. Tumefanana tu maana hata huko mara sijawahi kufika.
Kama mapenzi ni sumu ina maana sisi wenyewe ndio tunaitengeneza, kwanini tuitengeneze sasa!?
Kwanini tujikaange kwa mafuta yetu wenyewe.
Unapotendwa usione ndio mwisho wa upendo jamani. Kila la shari lina heri ndani yake.